GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Muda mfupi uliopita Mbunge wa Nyamagana CDM Mh. Ezekiah Wenje amenukuu kifungu kinachoruhusu kujadiliwa kwa jambo la dharula katika Nchi na kumtaka Spika kuuahirisha Mjadala wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Badala yake kuruhusu Mjadala wa Suala la Dharula la Umeme.
Umeme umekuwa kadhia kubwa kwa sasa na shuguli nyingine zinazotegemea Umeme zimekwama jumla kama usukumaji wa Pampu za maji, uzalishaji viwandani, usagishaji wa nafaka na masuala maengine mengi ya kiuchumi.
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida Spika anaitaka serikali kuja na Majibu ya Uhakika...Yaaaapi hayo????????????
Umeme umekuwa kadhia kubwa kwa sasa na shuguli nyingine zinazotegemea Umeme zimekwama jumla kama usukumaji wa Pampu za maji, uzalishaji viwandani, usagishaji wa nafaka na masuala maengine mengi ya kiuchumi.
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida Spika anaitaka serikali kuja na Majibu ya Uhakika...Yaaaapi hayo????????????