Malengo ya mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo(Comunity Development Catalyst Fund-CDCF)

Ni vema ukafanya utafiti wa kufahamu mfuko wa jimbo hupokea kiasi gani? halafu njoo na hoja zako!!
MI NIMEFANYA HILI .... WEWE KATAFITI UJUE UNAPUNJWAJE ... NA KAMA WE NI MDAU WA KUFAIDIKA NA MFUKO HUU KAA KIMYA - TUNAJUA
 
Asante ndugu kwa kuendeleza harakati za kuwatoa Watanzania gizani.......

Wanasiasa wetu huwatumia tu wananchi kama makopo ya chooni......ambapo umuhimu wake ni mpaka Mtu anapobanwa na haja.....

Wananchi wakiachana na ushabiki wa vyama na kuanza kutumia akili zao vyema....ndio watakapoziona rangi halisi za wanasiasa wanaojifanya kuwapigania kwenye majukwaa......

Na hapo ndipo yatakapoanza mageuzi ya kweli kwenye taifa hili.....
 
Asante ndugu kwa kuendeleza harakati za kuwatoa Watanzania gizani.......

Wanasiasa wetu huwatumia tu wananchi kama makopo ya chooni......ambapo umuhimu wake ni mpaka Mtu anapobanwa na haja.....

Wananchi wakiachana na ushabiki wa vyama na kuanza kutumia akili zao vyema....ndio watakapoziona rangi halisi za wanasiasa wanaojifanya kuwapigania kwenye majukwaa......

Na hapo ndipo yatakapoanza mageuzi ya kweli kwenye taifa hili.....

Kibaya zaidi hao wananchi ukijaribu kuwaelezea - wanakuona eti we ni mpinzani .. kweli ni mpinzani wa uozo!
 
Bado tuna Safari ndefu snaa kuelekea nchi ya ahadi......
Uzi huu nilitegemea watu toka majimbo mbali mbali wautumie kujiuliza zilikopelekwa fedha hizo kwa kipindi kilichopita. Cha kushangaza wapo wanaotaka eti niwawekee ni kiasi gani?
Nauliza tena jimboni kwangu Nyamagana .... kwenye kata ninakoishi sikuwahi kuona chochote alichofanya mbunge wangu. Nilimuona mara moja msibani akaiwa na wapambe wake.

Kama anasoma kwenye JF atambue kuwa tunajua fika ana hela zetu ... tunamdai japo hatutamshitaki. Mwenzake wa Ilemela kafanya mambo mengi hadi anafurahisha.
 
Uzi huu nilitegemea watu toka majimbo mbali mbali wautumie kujiuliza zilikopelekwa fedha hizo kwa kipindi kilichopita. Cha kushangaza wapo wanaotaka eti niwawekee ni kiasi gani?
Nauliza tena jimboni kwangu Nyamagana .... kwenye kata ninakoishi sikuwahi kuona chochote alichofanya mbunge wangu. Nilimuona mara moja msibani akaiwa na wapambe wake.

Kama anasoma kwenye JF atambue kuwa tunajua fika ana hela zetu ... tunamdai japo hatutamshitaki. Mwenzake wa Ilemela kafanya mambo mengi hadi anafurahisha.
Watu wamelewa siasa mpaka zimewatoa fahamu.....Mtu yuko radhi kumtetea mbunge wake hata kwenye mambo ya kipuuzi kabisa.....
 
Watu wamelewa siasa mpaka zimewatoa fahamu.....Mtu yuko radhi kumtetea mbunge wake hata kwenye mambo ya kipuuzi kabisa.....
Huo ndo unaitwa ulemavu wa fikra. Nashangaa unaweza ukawa unatofautiana na mtu leo ... after 1 year anageukia upande wako kumponda huyo aliyekuwa akimtetea ... ukifuatilia .. hayuko tena kwenye kiti alichokuwa akikitumia kufanya madudu.
Ulevi wa kisiasa mbaya sana!
 
Huo ndo unaitwa ulemavu wa fikra. Nashangaa unaweza ukawa unatofautiana na mtu leo ... after 1 year anageukia upande wako kumponda huyo aliyekuwa akimtetea ... ukifuatilia .. hayuko tena kwenye kiti alichokuwa akikitumia kufanya madudu.
Ulevi wa kisiasa mbaya sana!
Na ndio ulevi unaoliangamiza taifa letu.....

Upande huu anaitwa mwizi upande anaitwa msafi, kesho upande ule wa kwanza unamuita msafi na upande wawili wanamuita mwizi......

Wanasiasa wetu wameshajua ulemavu wetu wa akili hivyo wanatutumia kama vikaragosi......!!
 
Na ndio ulevi unaoliangamiza taifa letu.....

Upande huu anaitwa mwizi upande anaitwa msafi, kesho upande ule wa kwanza unamuita msafi na upande wawili wanamuita mwizi......

Wanasiasa wetu wameshajua ulemavu wetu wa akili hivyo wanatutumia kama vikaragosi......!!
Inasikitisha sana!
 
Hivi ni kiasi gani ambacho kila mbunge anapewa kwa ajili ya mfuko wa jimbo

Nashangaa mleta hoja mbali ya uandishi mbovu wa herufi 'H' kwenye bandiko lake refu, hakuna alipotaja ni kiasi gani cha mfuko wa jimbo, halafu anajinasibu ni bandiko la kutoa uelewa kuhusu mfuko wa jimbo!!
 
Ni vema ukafanya utafiti wa kufahamu mfuko wa jimbo hupokea kiasi gani? halafu njoo na hoja zako!!
Mi naanzisha hoja .. we fuatilia wanapata kiasi gani na wanatumiaje. Kwa takwimu nilizo nazo asilimia kubwa wanatumia 50% zinazobaki hazijulikani zinatumikaje.

Tatizo la wananchi hawajui kutafuta vyanzo vya habari akiwemo wewe hapo!
 
Back
Top Bottom