gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Hakuna lolote huo mfuko wa jimbo uko na maslahi binafsi ndio maana wanaulilia, wala siyo kama wanalilia ili watatue changamoto za kijamiiTatizo huwa tunawaumiza wabunge kwa kuomba watoe fedha kwa ajili ya maendeleo badala ya kuhamasisha maendeleo na shughuli nyingine za kibunge ndio maana na wabunge wa viti maalumu wanaomba fedha za mifuko ya jimbo ili wakifika majumbani (wanakotoka) wasikose cha kutoa