Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Kuna njia nyingi za kuendeleza jimbo pasipo kutegemea fedha za serikali. Ina takiwa mbunge awe na initiative, awe creative na awe na vision. Ukikaa kusubiria pesa za serikali tu ndipo hapo inabidi mbunge asubiria mpaka apate uwaziri. Pia wabunge wengi wa CCM wange punguza uchama na kukazania kutetea maslahi ya majimbo yao zaidi kunge kuwa na maendeleo. Tatizo wabunge wengi (haswa wa CCM) ni rubber stamps tu.
ebu toa mifano hai kivipi mbunge anaweza kuendeleza jimbo bila fedha kutoka seriali kwenda jimboni kwani.? Au unamaanisha maendeleo ya kisiasa.
Mi nadhani watu wanakosea kuhusiha maendeleoya jimbo na wabunge. Wabunge ni wanasiasa tu.
Maendeleo ya jimbo Mkoa au wilaya sana sana yanategemea RC DC, Afisa Elimu, Afisa MAdini. RPC, Afisa Mifugo au Afisa Kilimo. Hwa ndio watu wanaotakiwa kuwa front line kuleta maendeleo sio wabunge. wabunge ni politics tu