Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,544
- 19,399
Pamoja na mapungufu yake mengineyo, lakini Malecela nadhani alikuwa more articulate katika mambo yake mengi kuliko Kikwete ambaye anaropoka mambo bila ya kuwa na uhakika nayo. Je kama tungemchagua Malecela mwaka 2005 ingekuwaje leo? Naweza kuwa najaribu kupima baina ya the bad and the worse, lakini nadhani kuwa sasa hivi tuna void katika uongozi