El Roi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 263
- 502
Ni jambo la kushukuru Mungu kwamba, binafsi nimeishi wakati wa Marais wote walioitawala nchi hii.
Nimeanza na Mwl na Sasa Samia suluhu Hassani.
Ukweli usemwe, Jm Kikwete looks the best president this country has ever had.
Namiss, uwazi wake serikalini katika kuendesha mambo, Uungwana wake na utu, utekelezaji wa mipango mikubwa ya maendeleo bila kelele.
Uhuru wa kufanya siasa, kujenga nchi ya kistaarabu na ustaarabu.
Kutuachia pesa mifukoni na tukafanya maendeleo yetu.
Kwa kuwa Mheshimiwa suluhu hajamaliza muda wake , nionavyo, the canon stick kupima maendeleo ya utawala wake ni JM Kikwete.
Madam President, look up to Jm Kikwete as you lead this country.
The only spot on the white paper of Jakaya's performance, was the failure to accomplish the process he initiated to bringing a new constitution in place.
Hata hivyo, this gentleman remains my best president of all, leave alone the current president who will equally match him, If she dares to bring on the new constitution.
Nimeanza na Mwl na Sasa Samia suluhu Hassani.
Ukweli usemwe, Jm Kikwete looks the best president this country has ever had.
Namiss, uwazi wake serikalini katika kuendesha mambo, Uungwana wake na utu, utekelezaji wa mipango mikubwa ya maendeleo bila kelele.
Uhuru wa kufanya siasa, kujenga nchi ya kistaarabu na ustaarabu.
Kutuachia pesa mifukoni na tukafanya maendeleo yetu.
Kwa kuwa Mheshimiwa suluhu hajamaliza muda wake , nionavyo, the canon stick kupima maendeleo ya utawala wake ni JM Kikwete.
Madam President, look up to Jm Kikwete as you lead this country.
The only spot on the white paper of Jakaya's performance, was the failure to accomplish the process he initiated to bringing a new constitution in place.
Hata hivyo, this gentleman remains my best president of all, leave alone the current president who will equally match him, If she dares to bring on the new constitution.