mgodi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,780
- 1,845
Maamuzi Kama haya yatapelekea chaguzi zijazo kuwa ngumu na fujo sana. Kama watu wataona dosari yoyote hawatategemea mahakama kutafuta haki yao, watatumia nguvu na hata kumwaga damu ili kulinda haki.
Mkuu Lyimo umeona mbali, na hicho ndicho kitakacho tokea.
Last edited by a moderator: