n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Wakuu,
Taarifa rasmi ni kuwa Makongoro Mahanga ameshinda kesi dhidi yake katika Jimbo la Segerea.
Ilikuwa ni vigumu kuandika hala live updates kwakuwa mahakamani hakukuwa na uwezekano wa kuwa online.
Mpendazoe atatakiwa kulipa gharama za kesi
Taarifa rasmi ni kuwa Makongoro Mahanga ameshinda kesi dhidi yake katika Jimbo la Segerea.
Ilikuwa ni vigumu kuandika hala live updates kwakuwa mahakamani hakukuwa na uwezekano wa kuwa online.
Mpendazoe atatakiwa kulipa gharama za kesi
Ni kweli. Mahakama imeamua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi Jimbo la Segerea in favour of Makongoro Mahanga.