KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,068
Ndo wanaowafaidi mabinti vigori wa shule ya msingi na sekondari.
Ndo wanaowafaidi mabinti vigori wa shule ya msingi na sekondari.
kweli inasikitiosha kwanza ukiangalia jinsi makonda walivyo wachafu (majoriti) halafu ukiangalia hawa mabinti zetu wanavyo jirahisishwa kwao na usista duu wao wa mjini naishiwa nguvu kabisa.... nishajuuliza wanacho kipata kwa hao makondakta ni kitu gani hasa hadi wanawehuka na akili kwa kujishetuwa kwao sijapata jibu bado.
Ndo wanaowafaidi mabinti vigori wa shule ya msingi na sekondari.
Whr r u NN?This is wrong on so many levels - morality-wise, legal-wise, common sense-wise, etc. For these grown ass men to lure these girls, especially the elementary (primary) school ones, to have sex with them in exchange for whatever is statutory rape (in my book and I could care less what our law says about it). Where are the activists?
Du hii kali. Yaani kumbe..................Unakutana na binti sa 2 au 3 usiku na uniform unadhani amestrugle kupanda daladala kumbe alikua anasubiri daladala lake special.