mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,078
- 3,142
HahahahahahahahaSamahani hapo kwenye red sijakusikia vizuri, umesema nani?
HahahahahahahahaSamahani hapo kwenye red sijakusikia vizuri, umesema nani?
“Barabara zimejengwa kwa gharama kubwa hivyo haziwezi kubadilishiwa matumizi na kuwa sehemu ya machinga kupanga na kuuzia bidhaa zao” amesema
Kasikia kilio chetu. Sasa hivi nachukia kwenda kariakoo. Itatupunguzia usumbufuAhasante mkuu, hii ni sahihi mfano kariakoo sasa ni fujo tu
Nasikia mtaa wa Congo hakufai, sijaendaga kitambo pale ngoja weekend hii niende nikajionee kwa macho tena sikuhizi kuna Mwendokasi kuanzia Moroco nitaupanda huo.
Mwenyekiti CCM JF
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo ametoa siku 14 kwa Wakuu wa Wilaya za Jiji hili kuhakikisha machinga wote wanafanyia biashara katika maeneo waliyopangiwa.
“Kauli ya Rais aliyoitoa kwamba machinga wasibugudhiwi isitumike vibaya kwani hata wao hawapaswi kuwabugudhi wananchi wengine kwa kufanya biashara zao mbele ya maduka na barabarani,”amesema Makonda.
Ameongeza kuwa anatambua kuwa machinga wanajitafutia riziki lakini hawapaswi kuvunja sheria kwa kufanya biashara hata katika maeneo yasiyokuwa rasmi.
“Barabara zimejengwa kwa gharama kubwa hivyo haziwezi kubadilishiwa matumizi na kuwa sehemu ya machinga kupanga na kuuzia bidhaa zao” amesema
So mameya hawajafanya kazi yao ipasavyo??Debe tupu limeibuka tena; kabla ya Novemba 15 hili suala litakuwa limeshasahaulika.
Kama wamachinga wanavunja sheria, itajwe hiyo sheria na kisha polisi wafanye kazi yao, wakuu wa wilaya inawahusu nini wakati masuala hayo ni majukumu ya mameya?
Tamko la ngapi hili wadau namshauri mkuu wetu wa mkoa awe anafuatilia hatua kwa hatua manake hii nchi ina manunda balaa.Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo ametoa siku 14 kwa Wakuu wa Wilaya za Jiji hili kuhakikisha machinga wote wanafanyia biashara katika maeneo waliyopangiwa.
“Kauli ya Rais aliyoitoa kwamba machinga wasibugudhiwi isitumike vibaya kwani hata wao hawapaswi kuwabugudhi wananchi wengine kwa kufanya biashara zao mbele ya maduka na barabarani,”amesema Makonda.
Ameongeza kuwa anatambua kuwa machinga wanajitafutia riziki lakini hawapaswi kuvunja sheria kwa kufanya biashara hata katika maeneo yasiyokuwa rasmi.
“Barabara zimejengwa kwa gharama kubwa hivyo haziwezi kubadilishiwa matumizi na kuwa sehemu ya machinga kupanga na kuuzia bidhaa zao” amesema
LEO mnawaondoa.....kesho magufuli atawarudishaTunaunga mkono uamuzi kama huu safi sana mh RC.