mbombo mte
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 713
- 190
Kama itafanikiwa......maana mara nyingi zoezi hili huwa linafeli,Ahasante mkuu, hii ni sahihi mfano kariakoo sasa ni fujo tu
Kama itafanikiwa......maana mara nyingi zoezi hili huwa linafeli,Ahasante mkuu, hii ni sahihi mfano kariakoo sasa ni fujo tu
ili?Uwe unachagua picha za kuweka, sio kama hii ulioweka!
Sawa kabisaHapa namuunga mkono Mh Makonda. Ni vizuri tukajenga jamii (wananchi na viongozi wao) inayoheshimu sheria, kanuni na taratibu
Nenda kampangie mumeo cha kuweka hapaUwe unachagua picha za kuweka, sio kama hii ulioweka!
kwahiyo wewe unaona kakosea au yuko sahihi?Wakati wa uchaguzi au kipindi cha kukaribia uchaguzi kauli kama hizi huwezi kuzisikia.
Debe tupu limeibuka tena; kabla ya Novemba 15 hili suala litakuwa limeshasahaulika.
Kama wamachinga wanavunja sheria, itajwe hiyo sheria na kisha polisi wafanye kazi yao, wakuu wa wilaya inawahusu nini wakati masuala hayo ni majukumu ya mameya?
Bila kuunga mkono utaendaje chooni?Tunaunga mkono uamuzi kama huu safi sana mh RC.
hivi mtukufu raisi si alisema wamachinga wasibugudhiwe???
Naunga mkono maamuzi ya makonda ingawa yanapingana na Jecha Pingili Magurudumu
***
haya jamaa aliyeweka hiyo picha sijui ka akili yake haina matopeUwe unachagua picha za kuweka, sio kama hii ulioweka!