Fasta fasta
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,126
- 725
Ninafikifi CCM inatuchezea kwa sababu walishajua udhafu wa watanzania ya kuwa ni waoga, hawana msimamo na wengi wameweka matumbo mbele zaidi kuliko uzalendo. Hata sasa hivi vyama vingine vya upinzani vingekuwa na mwelekeo wa upinzani CCM wasingekuwa na kiburi cha kufichiana maovu. Suala la umeme kwa Tanzania ni aibu, lakini na wasomi wanakubali vipi kupelekwa pelekwa kama makondoo. Tunataka wote mlioenda shule mnyanyuke sasa kwa ajili ya kupinga hizi kauli za NGELEGE kuhusu umeme. Tukimtegea yule wa kijijini alishaambiwa atafikifiwa umeme 2033. Lazima kuwe na hali ya kuwasukuma hawa watu, wamejisahau sana.