abduel paul
Senior Member
- Nov 23, 2010
- 133
- 5
Pole sana!!! Unaonekana uko usingizini amka, Hata Mubaraq alijua hakuna wa kumuondoa, na CCM itaondolewa tu na watanzania na CDM ndio aliye na nafasi kubwa kufanya hayo.
Ume mfafanulia vizuri!! pana wezekana kabisa pakakosekana chama imara nabora cha kuitoa CCM, lkn wananchi wanaweza kuamua kukitoa madarakani hata kwa kuwatumia UDP, au mgombea binafsi yaani wananchi walivyo choka lolote linawezekana, shida ipo kwa wana kijiji tu, elimu kwao bado mbali sana, na wao ndio walio mpa Kikwete 61% hapakuwa na uchakachuaji mi siamini, bado ni malimbukeni, sasa cha hiyo 61% inawatokea puani,ingawa na ss inatukumba, yaani laaaaaaaanaaaa mtindo mmoja................!!!!!!!!!!!!!!1111