Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,381
- 33,032
Kwenye kipindi chake cha kwanza cha utawala JK alijulikana kwa majina kama Vasco Dagama, Magellan, Columbus n.k kutokana na kusafiri karibu kila mwezi kwenda Ulaya na US kwa madai ya kwenda kutuombea misaada. Kuna wakati alitokomea huko US kwa zaidi ya mwezi.
CHADEMA na wapinzani wengine kama CUF walipiga kelele sana kutokana na ufujaji wa kodi za raia JK aliokuwa akifanya kwenye safari zake hizo zisizo na tija kama za kutembelea ofisi za google na kubembea kule kwa wapiga msuba Jamaica. Kwa sasa tangu achaguliwe sijamsikia JK kaenda US au EU. Je ni makelele ya CHADEMA na kina CUF yamemtuliza JK nchini au nchi imefilisika hadi hana hata hela ya mafuta?
CHADEMA na wapinzani wengine kama CUF walipiga kelele sana kutokana na ufujaji wa kodi za raia JK aliokuwa akifanya kwenye safari zake hizo zisizo na tija kama za kutembelea ofisi za google na kubembea kule kwa wapiga msuba Jamaica. Kwa sasa tangu achaguliwe sijamsikia JK kaenda US au EU. Je ni makelele ya CHADEMA na kina CUF yamemtuliza JK nchini au nchi imefilisika hadi hana hata hela ya mafuta?