Majina ya watoto

Inaweza ikawa ni mazoea tu, affection, ufupisho, au sababu yoyote ile...lakini si ajabu hata kidogo kwa watu kuwa na majina ambayo wazazi wao au ndugu zao huwaita nyumbani lakini huko nje hujulikana kwa majina tofauti.



Majina yapi unayoyaulizia?

Hapa huu mdolongo wote umeanza na watu kusema hawayataki majina ya wazee wao, wanataka brand new names kwa watoto wao

Ndicho kilichonipelekea kuuliza kuwa unakuwa na jina la kizamani/kishamba ambalo unaona poa ukiitwa nyumbani lakini Shule huko na mtaani kwenye watu wengine unapewa jina la kisasa

Kama Si kuwa unalionea aibu hilo jengine kwa nini umpe mtoto majina mawili au zaidi?
 
Kwa mtu asiyependa kuwa kivuli cha waliokwisha kufa na kuzeeka inastaajabisha kuwa kumbe analipend kiasi cha kuwa hataki liwe la kawaida sana!

Which is which madam?

Kwanza kabisa jua kwamba majina ya nyumbani sio lazima yawe ya urithi. . .Yanaweza yakawa ni majina tu ambayo mtu alipenda kulitumia kisha likafanywa la nyumbani. Kwahiyo nikisema ya wazee haina maana ni lazima yawe yao wenyewe bali yaweza kuwa ni mapendekezo yao. Kama langu sikupewa kwasababu ni la fulani bali linaendana na mimi na lilipendekezwa na bibi yangu. . there is absolutely nothing wrong with that.

Pili hata kama ni la kurithi halimfuati mtoto popote aendapo, meaning hana haja ya kuishi kama kivuli cha aliyepita. Asipolipenda anaweza akaomba familia isiimwite hivyo tena na wakaacha. . .huo ndio utakua mwisho wa hilo jina kuhusishwa na huyo mtu. Tofauti na yale ambayo ndio yamefanywa official. . .kama kubadili mpaka mtu akaanze kuhangaika na mahakama huko na jina lilishazoeleka kila mahali.
 
Mtoto unwite Chanuo nyumbani kwa sababu ni jina la bibi yake, lakini shule ukamuandikishe jina Elizabeth, kwa nini?

Mimi nimedhani ni kwa sababu unaona aibu hilo jina Chanuo mtoto ataonekana hajazaliwa na modern parents, mnaosema sababu si hiyo, nipo nawasikiliza

Asanteni kwa ushirikiano

:d
 
Hapa huu mdolongo wote umeanza na watu kusema hawayataki majina ya wazee wao, wanataka brand new names kwa watoto wao

Ndicho kilichonipelekea kuuliza kuwa unakuwa na jina la kizamani/kishamba ambalo unaona poa ukiitwa nyumbani lakini Shule huko na mtaani kwenye watu wengine unapewa jina la kisasa

Kama Si kuwa unalionea aibu hilo jengine kwa nini umpe mtoto majina mawili au zaidi?

Okay, nimekuelewa sasa.

Ila kwa mimi binafsi ninapenda sana kuwa na majina ya kikwetu. Lakini siku hizi kuna kamtindo kametokea ka watu kuwa na majina hasa ya ki Anglo-Saxon....

Unakuta mtu ambaye ni Mmakua lakini anaitwa Martin Alexander! Au Mndengereko anaitwa Faith Jackson....unabaki unajiuliza tu...really?
 
Pili hata kama ni la kurithi halimfuati mtoto popote aendapo, meaning hana haja ya kuishi kama kivuli cha aliyepita. Asipolipenda anaweza akaomba familia isiimwite hivyo tena na wakaacha. . .huo ndio utakua mwisho wa hilo jina kuhusishwa na huyo mtu. Tofauti na yale ambayo ndio yamefanywa official. . .kama kubadili mpaka mtu akaanze kuhangaika na mahakama huko na jina lilishazoeleka kila mahali.

Kulionea aibu is written all over this one. Kuwa kama jina la kizamani basi kuna chance kubwa kuwa hutalipenda, hivyo kukupa loop hole kuwa lisifanywe rasmi ili uweze kulifuta mara moja ukiamua
 
Kulionea aibu is written all over this one. Kuwa kama jina la kizamani basi kuna chance kubwa kuwa hutalipenda, hivyo kukupa loop hole kuwa lisifanywe rasmi ili uweze kulifuta mara moja ukiamua

Lakini jina linakuwaje la kizamani?
 
Kulionea aibu is written all over this one. Kuwa kama jina la kizamani basi kuna chance kubwa kuwa hutalipenda, hivyo kukupa loop hole kuwa lisifanywe rasmi ili uweze kulifuta mara moja ukiamua
Ulivyong'ang'ania. . .utadhani unalijua hilo jina mpaka uongelee uzamani.

I'm outta here!!
 
Okay, nimekuelewa sasa.

Ila kwa mimi binafsi ninapenda sana kuwa na majina ya kikwetu. Lakini siku hizi kuna kamtindo kametokea ka watu kuwa na majina hasa ya ki Anglo-Saxon....

Unakuta mtu ambaye ni Mmakua lakini anaitwa Martin Alexander! Au Mndengereko anaitwa Faith Jackson....unabaki unajiuliza tu...really?

Hiyo ndo my point exactly...hivi kwa nini hatupendi majina yenye asili za kwetu na tunataka lazima majina ya Kizungu ndo tujione tumeitwa jina jema?

Mtu anang'ang'ania hataki jina la kizamani ukimuuliza la kisasa ni lipi atakwambia Michelle, Catlyne, Hillary ...wewe mwenyewe unabaki mdomo wazi
 
gaijin,
hayo majina ya kizamani inategemea na maana, mfano mtu uitwe mshira gwa ng'ang'a!!!!!

Loh lazima mzazi nikatae

Hiyo ndo my point exactly...hivi kwa nini hatupendi majina yenye asili za kwetu na tunataka lazima majina ya Kizungu ndo tujione tumeitwa jina jema?

Mtu anang'ang'ania hataki jina la kizamani ukimuuliza la kisasa ni lipi atakwambia Michelle, Catlyne, Hillary ...wewe mwenyewe unabaki mdomo wazi
 
gaijin,
hayo majina ya kizamani inategemea na maana, mfano mtu uitwe mshira gwa ng'ang'a!!!!!

Loh lazima mzazi nikatae

mi ata aitwe hivyo ni sawa ila mpango mzima wa Lazima litoke kwa wazee kwangu sio issue na sipendi kabisa..
 
Hakuna majina ya kizamani wala ya kisasa!

Kama hayo ya Kizungu ndiyo ya kisasa basi kweli wadhaniavyo hivyo watakuwa ni wajinga wa kutupwa!!!
 
Ukoloni Mamboleo huo. Mwacha mila ni mtumwa. Haya endelea kuwaita watoto wenue ..David Cameroon..ilihali hamfahamu maana yake. Maana mmeona kuwawaita Mafuru, Maganga, Atugainile, Mwakifulefule, Marwa, Chubwa, Mapunda, Rwabutomize ni ushetani kama mlivyofundishwa na Mkoloni.
nakuunga mkono.
 
Back
Top Bottom