Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
aah! wewe hyo haiwezekani. may b kama wewe ni mchaga muite munguatosha bt Jesus haiwezekaniki.
Inawezekana. Wareno wanatumia sana tu.
aah! wewe hyo haiwezekani. may b kama wewe ni mchaga muite munguatosha bt Jesus haiwezekaniki.
habari za mapumziko wana chitchat, katka maisha kila mtu huwa ana wishes zake kwenye majina ya wanawe watarajiwa. mf. mie kabla sijapata mtoto nilikuwa napenda jina la Yvonne na Ian, nilisema km nikimpata mtoto wa kike ntamuita Yvonne na kama ntampata wa kiume ntamuita Ian. bt nikampata wa kike nimemuita Yvonne.
reason: nilikuwa nampenda sana yvonne chakachaka hasa nyimbo zake. je wewe mwana cc ulipenda jina / majina yapi na kwa sababu gani?
ohh dats gud, unaweza twambia ni nini kilimpelekea mr.akawaita hayo majina?
somalia huko janjaweed hahahaha
mnajua mnanivunja mbavuu tuu hapa wakt nipo na stress hahahahaaaaaaaa haya wenye majina mi hata sijui nimwiteje mana sitaki rudia jina ambalo lipo pande yangu wala ya baba wa mtoto im still searchn
anasema ameyapenda tu
hongera mamie kwa kuwa na mama mkwe mzur na mnayependana. ni wanawake wachache sana ambao wanashibana na wakwe zao!
Asante charminglady kiukweli tunapatana sana,nilichunguza tu na nilipomfaham nikajua namna ya kumpatia anavotaka na tukaenda sawa lol!
my daughter anaitwa mulhat
atakayefata nitamwita CHADEMA yaani CHARLES DEOGRATIUS MASAWE
dah, ni kweli. ngoja nkifika huko ntakutafta unipe maujuz
Cheka tuu kipenzi yan hapa nimetoka tazama dance mia mamateh,ucnichekeshe shost!
hilo jina nlijitahidi kuliweka kwenye memory card ya ubongo wangu lakini wapi. lakini sasa hivi najitahidi kidogo. msalimie sana. unampa msosi gani? manake alivyo bonge!. mia
wa kawaida tu kuna beki tatu alimharibia mambo msosi wa dogo anakula yeye loh