Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
Teh teh teh teh,
Babu bhana unanivunja mbavu.
Asa vikipitiliza je?
Acha longolongo jibu PM yangu!
Teh teh teh teh,
Babu bhana unanivunja mbavu.
Asa vikipitiliza je?
Inawezekana sana. Hilo jina linatumika sana huko Israel na Amerika kusini. ...aah! wewe hyo haiwezekani. may b kama wewe ni mchaga muite munguatosha bt Jesus haiwezekaniki.
nitamwita havijawa kwa ke na me apendeki sababu ni majina halisi ya kitanzania nami ni MTz halisi.
angalia jina lisije lika-reflect na maisha yake!
Mimi wangu wakiume lazima waishie na CK! Ninao watatu jaribu kutaja majina yao atakaye pata yote nampa zawadi!
wa kwangu nitamwita Mchina. Kuwaenzi wachina kwa kuniwezesha kuwasiliana na haka kamchina kangu.
my daughter anaitwa mulhat
Mie watoto wangu wa kiume ni Lincoln na Levin, baba yao ndo amewapa hayo majina, ila wa kike nimempa jina la Esther ili kumuenzi mama yangu kipenzi, R.I.P mama
atakayefata nitamwita CHADEMA yaani CHARLES DEOGRATIUS MASAWE
Inawezekana sana. Hilo jina linatumika sana huko Israel na Amerika kusini. ...
sie waswahili bwana mbona wengine wanamajina hayo hayo na wanakula bata kila siku mjini na mikoko ya nguvu,kama umeandikiwa kupata hata ukiitwa sokwe utapata tu!
Hahahaha wife bana. Mitoto yetu hii ukiyaita majina hayo si itakuwa balaa. Tutafuata nyayo ya kuenzi lugha yetu kama nilivyofanya na mke mkubwa BADILI TABIA tulivyowaita Havintishi na dada yake Msinune.
nini asili ya hilo jina mamie?
kumbe, me nlikuwa sijua bana. kuna msemo et ukimuita mwanao matatizo/masumbuko basi atakuwa na matatizo km jina lake!