EMMANUEL TITO HAULE
Member
- Aug 12, 2012
- 5
- 0
huo uswahili wa tcu hakika sio poa
Kwa habari za kutoka jikoni ni kuwa wale walioshindwa kudahiriwa na tume ya vyuo vikuu majina yatakuwa kwenye mtandao baada ya saa 1. Stay tuned.
Onyo: usinitukane, wait and see! Au piga tcu kupitia 0712722684
Sasa si ndio hapo mkuu.
da mi naona bora kusubir ka message ya tcu inavosema bhaaas
Kwa habari za kutoka jikoni ni kuwa wale walioshindwa kudahiriwa na tume ya vyuo vikuu majina yatakuwa kwenye mtandao baada ya saa 1. Stay tuned.
Onyo: usinitukane, wait and see! Au piga tcu kupitia 0712722684
Mpaka sasa saa moja na nusu imepita.
hawa jamaa mchosho tu..they never do anything right as they say..kuna software malfunction. IT Specialists are working on the issue.
unataka chuo kipi??