Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
tatizo jamaa hajajieleza vizuri,kwani kama umetupwa 2nd round hauwezi kuomba ile program unayoitaka kama ipo kwenye ile list ya empty slots?
Safi sana ndugu, nimependa maelezo yako. UBARIKIWE
sasa hv iyo kitu ya "you are admitted"Jana nilifungua account ya Kijana wangu TCU, ilionesha He is Selected. Nimedungua tena leo, hiyo status haipo, na hakuna status yoyote ile. Tatizo ni nini? Mwenye kuelewa tuambiane. Isije ikawa mtu unatakiwa kufanya 2nd apll na muda ukaishia kupita. TCU jitahidini kuwa consistent!!!!!...........
Nemesha achana na TCU saivi nacheza na HESLB pekeyao
jamani mi nafikiri ni wakati serikali ifikirie kurudisha system ya zaman ya kuapply direct institution mtu anayotaka maana naona kuletwa kwa tcu imefanya application system iwe slow au mnaonaje wakuu
wana jf naomba msaada wenu nifaanye nini nashindwa kulog in kwenye site ya tcu so mpk now sijijui kama nimekuwa admited au la au nahitaji niombe katika second round siajakosea paswor wala usernem sinnce nilivyojiunga ilikuwa inakubali kulog in kwenye comp 1 ambayo nilijiungia nyingine zote inafeli ila so bad ile comp imeibiwa kabla y ahaya matokeo hayajatoka naombeni msaada wenu whom to consult and how o what should i do thanx in avance-kwa pamoja tutaweza
unataka ulipie Tsh.30,000/= kila chuo utakacho omba?? bora Tsh.30,000/= unapata kozi zako nane.
unataka ulipie Tsh.30,000/= kila chuo utakacho omba?? bora Tsh.30,000/= unapata kozi zako nane.
Mkuu apply fasta coz first come first served
bora ibadilike sababu itaspeed up the system afu itafanya applicant awe more accurate
jamani mi nafikiri ni wakati serikali ifikirie kurudisha system ya zaman ya kuapply direct institution mtu anayotaka maana naona kuletwa kwa tcu imefanya application system iwe slow au mnaonaje wakuu