Majina ya walioshindwa TCU!!

tatizo jamaa hajajieleza vizuri,kwani kama umetupwa 2nd round hauwezi kuomba ile program unayoitaka kama ipo kwenye ile list ya empty slots?
 
yeah wamenitupa 2nd round...ila katika maelezo wameniambia ni badili programa so nimechanganyikiwa hapa,hiyo EMPTY SLOTS ndo nini? msaada
 
Hapo nimekuelewa sasa. Ukifungua TCU kwenye news zao wameweka programs zilizowazi(empty slots) pamoja na chuo husika ambazo mtu anaweza kuomba kwa second round. Tembelea tovuti ya tcu,angalia hzo nafasi zilizowazi kama utapata program unayoitaka. Vipi hapo umenielewa? Kama bado uliza nikueleze zaidi.
 
Jana nilifungua account ya Kijana wangu TCU, ilionesha He is Selected. Nimedungua tena leo, hiyo status haipo, na hakuna status yoyote ile. Tatizo ni nini? Mwenye kuelewa tuambiane. Isije ikawa mtu unatakiwa kufanya 2nd apll na muda ukaishia kupita. TCU jitahidini kuwa consistent!!!!!...........
 
Jana nilifungua account ya Kijana wangu TCU, ilionesha He is Selected. Nimedungua tena leo, hiyo status haipo, na hakuna status yoyote ile. Tatizo ni nini? Mwenye kuelewa tuambiane. Isije ikawa mtu unatakiwa kufanya 2nd apll na muda ukaishia kupita. TCU jitahidini kuwa consistent!!!!!...........
sasa hv iyo kitu ya "you are admitted"
wameiondoa so usife moyo
 
jamani mi nafikiri ni wakati serikali ifikirie kurudisha system ya zaman ya kuapply direct institution mtu anayotaka maana naona kuletwa kwa tcu imefanya application system iwe slow au mnaonaje wakuu
 
jamani mi nafikiri ni wakati serikali ifikirie kurudisha system ya zaman ya kuapply direct institution mtu anayotaka maana naona kuletwa kwa tcu imefanya application system iwe slow au mnaonaje wakuu

unataka ulipie Tsh.30,000/= kila chuo utakacho omba?? bora Tsh.30,000/= unapata kozi zako nane.
 
wana jf naomba msaada wenu nifaanye nini nashindwa kulog in kwenye site ya tcu so mpk now sijijui kama nimekuwa admited au la au nahitaji niombe katika second round siajakosea paswor wala usernem sinnce nilivyojiunga ilikuwa inakubali kulog in kwenye comp 1 ambayo nilijiungia nyingine zote inafeli ila so bad ile comp imeibiwa kabla y ahaya matokeo hayajatoka naombeni msaada wenu whom to consult and how o what should i do thanx in avance-kwa pamoja tutaweza

ingiza pasword zako ukianza na herufi kubwa, ikigoma ingiza pasword zote kwa herufi kubwa tu, au ndogo tu, hata mie nilikutana na jambo hlo,
 
jamani mi nafikiri ni wakati serikali ifikirie kurudisha system ya zaman ya kuapply direct institution mtu anayotaka maana naona kuletwa kwa tcu imefanya application system iwe slow au mnaonaje wakuu

System ya zamani ilikua nzuri kwa wenye hela na waliofaulu vizuri. Kwasabu mtu ulitakiwa ulipie elfu 30,000 kila chuo sasa hapo ufaulu ndio utakao kubeba kuna wengine wanapata vyuo vyote wengine hawapati hata kimoja.
Sasa hivi uhakika wa kupata chuo ni mkubwa kuliko zamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom