Bukanga
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 2,857
- 1,936
Mkuu...
Si ukae kimya mbona unatafutia watu ban hapa..
Halafu inaonekana umeridhika sana..
Si ukae kimya mbona unatafutia watu ban hapa..
Halafu inaonekana umeridhika sana..
Brother, waliopo CCM pia ni wananchi wa nchi hii hii, na ninakuhakikishia kabisa kwamba ndani ya wabunge wa CCM kuna watu wazuri sana, tena wazalendo kupita kiasi kuliko unavyotaka kufikiri, na ndiyo maana tunaendelea kuchaguliwa na wananchi. Suala la kusaini ama kutokusaini ni la kiutaratibu na kwa mfumo tulionao si sahihi kwa MB wa CCM kupiga kura ya kitu kizito kama hicho bila kuangalia msimamo wa chama chake. Kusimamia mambo ya kitaifa na hata kuunga mkono hoja za kambi ya upinzani kwenye mambo madogo madogo inakubalika lakini siyo kwenye mambo kama haya, hili la kutokuwa na imani na WM!!!! Hata kama CHADEMA wangekuwa wanatawala wasingekubali hilo...