Majanga yaliyonikuta kwa kutokunywa maji mengi, usiombe yakukute

NASHUKURU SANA WADAU WOOOTE MLIONISHAURI, NITAZINGATIA USHAURI WOTE; PIA NATANGULIZA SAMAHANI KWA WOTE WALIOKWAZIKA; LAKINI USIOMBE YA KUKUTE; SIPATI PICHA YAANI NIKIWAZA HALI KAMA HII IKUKUTE HALAFU KUWE NA TETEMEKO LA QRDHI KAMA KULE BUKOBA, WAWEZA OMBA ARDHI IPASUKE AISEE!
Pole sana mkuu
 
Najuta fungua huzi huu kisha kusoma mpaka mwisho, nimeacha chakula changu kitamu, hapo nilipofika eti unamogoa tena na vidole dah! Pole ila pia tumia na matunda kama papai.
kipindi tuko shule ukienda kwenye vyoo vya shule kumepigwa chata na kinyesi ukutani "akumbukwe man kido" "man nyengo wa ukweli" "swag boy manyusi" teh teh tena zimeandikwa kwa kidole kabisa kudadeki daah maisha ya boding noma sana hasa shule za boys.
 
mbali na maji na matunda lakini pia tabia ya kuwa mtu amebanwa na haja halafu anaiskilizia tu hataki kwenda kun*a ndio matokeo yake haya, halafu huyo shemeji inakuwaje anafananisha maumivu ya kujifungua na kutoa kimba.
 
MKUU KESHO ASUBUHI NENDA SOKONI MWAMBIE MAMA MUUZA AKUPE BAMIA KAMA 3O ZICHEMSHE KISHA CHUJA UPATE MAJI YAKE.HALAFU CHUKU MAYAI KAMA 5 CHANGANYA. KISHA KUNYWA YOTE HUTAKUJA TENA KUTUCHEFUA NA HABARI ZAKO ZA MSALANI
HAYA MKUU; WACHA NIJARIBU NITAWEKA MREJESHO....ILA SIKUWA NA BUDI KUSEMA HADHARANI ILI NIPATE MSAADA; POLE KAMA NILIKUCHEFUA LAKINI OMBA USIPATWE!..YAANI KWANZA HAPA SIPO SAWA KISAIKOLOJIA SIJUI HII HALI ITAJIRUDIA AU IMEKOMA!
 
Haijawani tokea;
Nilikuwa nasikia Kwa watu tu hii kadhia.
Leo nimeingia chooni, kwakweli choo nilikuwa nayo, lakini ilikwama kutoka ilikuwa ngumu sana, nimekaa chooni karibia lisaa, choo kimechungulia ila hakitoki, kwakweli maumivu niliyoyapata yalikuwa ni makubwa sana, haijawahi tokea, nilijaribu kukibana kipungue ukubwa lakini wapi, choo kilikuwa kigumu sana, yaani ikabidi nianze kusali tu, maana nilihisi kuchanganyikiwa kabisaa na Yale maumivu makali,
Baada ya mda nikapata wazo la kumogoa kipande kidogo kidogo Kwa vidole, yaan nilikuwa namogoa halafu nasimama kuyabana then nachuchumaa, hivyo tena Kwa maumivu makali sana!
Namshukuru Mke Wangu Kwa kunitia moyo kwamba nijikaze, Mke Wangu alinisisitiza kwamba tatizo hilo huja kutokana na kutokunywa Maji mengi (Constipation) . Kanisisitiza sana niwe nakumbuka kunywa Maji meji, na ni kweli sina kasumba ya kunywa Maji kabisa nikiwa katika kazi zangu, na pengine huwa Niko busy sana kiasi kwamba saingine nikishakunywa chai asubuhi mchana huwa sipati lanchi, kiufupi Mimi ni miongoni mwa watu wavivu kunywa Maji mengi. Lakini kuanzia sasa nazani nitakuwa mfano Wa kuigwa, nimeumia sana, ilifika hatua niiaanza kuwaza na yasiyowazika, niliwaza hivi hali ile ingenikuta nikiwa ugenini au kwenye ndege ningefanyeje!
Nimejifunza mwenzenu, na nimeweka hii post ili kuwanuru nanyi msijisahau kunywa Maji balaa hili lisije wakuta ambalo sijui kama hata hospital ukizindiwa wanakusaidiaje
Hapa ********* unauma balaa! Nimemogoa taratibu hivo hadi choo kikatoka chote, ila nimeumia sana, nimewaza kumbe wanawake wanapojifungua huumia kiasi kile! Maana Mke Wangu kaniambia hayo maumivu niliosikia ni Mara tano kwa maumivu ayapatayo mwanamke
Kwakweli NIMEKOMA SITASAHAU KUNYWA MAJI MWENZENU TENA,
KUNYWENI MAJI NANYI YASIJE WAKUTA WADAU. Ni ushauri tu msinielewe vibaya.
Juice ya ukwaju ndo dawa. Tengeneza mwenyewe iwe nzito. Hilo sio tatizo la ajabu. Likizidi sana hospitali wanakupiga bomba....
 
Siku nyingine ukiona dalili ama ukipatwa na hali hiyo dawa yake ndogo sana mwambie mkeo akutengenezee sharubati ya ukwaji nzito (kwa maana iwe na zile chenga chenga za ukwaju nyingi) kisha pata bilauri moja mpaka tatu kisha subiri dk 15 zitakutosha kupata majibu..
pia ni vizuri sasa kwa nia ya kinga uwe unatumia bilauri moja ya sharubati ya ukwaju kila siku kabla ya kulala na hilo tatizo hutakumbana nalo tena.
Mkuu! Mie tatizo ksma hilo ninalo ila kwangu nakuwa na hali ya kutokuwa na hamu ya kupata choo na kama nikipata choo ni kigumu wakati nakula vyakula tajwa kama mchicha; matunda Maji ya kutosha na sili ugali uliokobolewa na kesho naenda kumuona dr hindumandal kwa ajili ya hili tatizo langu;
Sina tatizo la kupiga msosi na hamu na njaa nakuwa nayo kama kawaida ila ndio kupata choo kwa siku tsno na kuendelea hadi nitumie vimbegu fulani hivi vya kuvuluga tumbo na hapo ndio napata chooo ya kutosha
 
Sawa mzee wa kumogoa, ila mkeo ana moyo. mimi huwa naenda haja kinyemela. ule nyuzinyuzi za machungwa pia dona lihusike kwa sana.
 
Najuta fungua huzi huu kisha kusoma mpaka mwisho, nimeacha chakula changu kitamu, hapo nilipofika eti unamogoa tena na vidole dah! Pole ila pia tumia na matunda kama papai.
Na wewe acha kinyaa kisichokuwa na maana, mwenzio alikuwa kwenye wakati mgumu. Kwani kuna tofauti gani na kuchamba!? Au mwenzetu unafyatua na kutoka
 
Back
Top Bottom