KiaziHakuna kifungu Msaliti Lissu anabwabwaja tu si unajua tena ubongo wake ulicheza na risasi.
Kuna Ratiba za kampeni kwa nchi nzima sasa anapokua mahali anakua kwa ratiba ya naniWakuu mnaweza kutuwekea vifungu vya sheria au kanuni anazokiuka? Thnx in advance
😂😂😂 Daaah.Ni kinyume na sheria lakini anaachwa tu aendelee. Tuikatae tume ya uchaguzi kwa maandamano.
Ambamize nani huyo mwoga wa ushindani. Jimboni kwake kaupata ubunge wa viti maalumu? Tunaongelea ukiukwaji wa kanuni na maadili ya uchaguzi.Unamzungumzia Majaliwa gani ? au Majaliwa Kassim Majaliwa wa CCM ? Vipi anawabamiza ?
Sasa hiyo picha inahusiana vipi na hoja uliyoiquote?Wewe bado kujipigia hapa? Changamka dogo, unakwama wapi?
Mkuu mimi nimeomba vifungu vya sheria au kanuni zilizovunjwa...mambo ya ratiba ni hoja nyepesi na ina loopholes. What if akisema anatumia ratiba ya mbunge wa jimbo husika?Kuna Ratiba za kampeni kwa nchi nzima sasa anapokua mahali anakua kwa ratiba ya nani
Mkuu,ukipewa hivyo vifungu vya sheria,uniite 😂😂wakuu tupeane na vifungu kabisa vya sheria vinavyokataa,ili tunapopiga spana huko kitaa tuwe na nondo kwenye pochi.
Ukiandika upuuzi ujue utajibiwa upuuzi, kuwa makini na hoja zako.Sasa hiyo picha inahusiana vipi na hoja uliyoiquote?
Wewe bado kujipigia hapa? Changamka dogo, unakwama wapi?
Umeandika point.
Mkuu hakuna kifungu chochote kinachozuia,hakuna atakaekuonyesha hapa.Mkuu mimi nimeomba vifungu vya sheria au kanuni zilizovunjwa...mambo ya ratiba ni hoja nyepesi na ina loopholes. What if akisema anatumia ratiba ya mbunge wa jimbo husika?
Ambamize nani huyo mwoga wa ushindani. Jimboni kwake kaupata ubunge wa viti maalumu? Tunaongelea ukiukwaji wa kanuni na maadili ya uchaguzi.
Kishindo cha Mahera??????????Kwani kuna tatizo akifanya kampeni tuliza kipele wewe uone mzee baba kura kama zote yaaani atashinda kwa kishindo
Muwe na adabu huko CCM, ukijipigia unakaa kimya tu. Kulikua na haja gani ya kupost picha? CCM mazuzu sana.Dogo hata mama yako,kuna madogo wanamsolola namna hii.
sababu tu ni mwanamke na ni haki yake kupigwa.
ila hawaweki hadharani sababu haina maana.
Bahati mbaya Chadema haina figureheads wa kuweza kuzunguka na kumwombea kura mgombea wao. CCM itamtumia Mh. Majaliwa. Itamtumia Mzee Wassira na mwingine yeyote. Kanuni hazikatazi.
Mkuu hakuna kifungu chochote kinachozuia,hakuna atakaekuonyesha hapa.
Wao wamelipuka na hii hoja baada ya kumsikia mgombea wa chama cha Mbowe akisema.
Wakikupa kifungu Cha sheria unitag.
Umenikumbusha, miaka ya 89, nikiwa na miaka 21, niliwahi kumbandua mama mwenye umri wa Miaka 40-au zaidi (kwa makadirio), baada ya hapo nilikuwa nikiwaangalia watoto wake ambao ni jamaa zangu mtaani afu najiuliza "wakijua watanichukuliaje".Dogo hata mama yako,kuna madogo wanamsolola namna hii.
sababu tu ni mwanamke na ni haki yake kupigwa.
ila hawaweki hadharani sababu haina maana.
Rejea swali uliloliuliza, halafu uone kama sijakujibu accordinglyMimi nauliza tuu, ili unijuze. Mbona unalipuka? Mnaletewa moto kuanzia Jumatano wiki hii.
Hukunijibu mimi,Ila nimemshangaa jibu ulilotoa juu ya hoja uliyoulizwa na jamaa hapo juu 🖕,haviendani kabisa.Napata wasiwasi juu ya uwezo wako wa kufikiri.Ukiandika upuuzi ujue utajibiwa upuuzi, kuwa makini na hoja zako.