isambe
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 2,195
- 1,401
Zuberi Zayumba Alisha tangulia mbele ya haki.Patrick Rugemalira - Huyu jamaa yupo Minneapolis, Minnesota.
Penina Mhando - Prof. Penina alihamia Nairobi na bado yupo na masuala yake ya
ualimu na uandishi wa vitabu nafikiri amerudia jina lake la Mhando
kama sio Mlama.
Norman Sabuni - Alisoma huko Eastern Europe nafikiri bado yupo Lugalo Hospital
ni Daktari hapo.
Zuberi Zayumba - Huyu Jamaa nami nafahamiana nae vizuri tulipoteana muda mrefu,
tulionana mwaka jana Arusha katika Msiba wa James Mgani,Zuberi
yupo Sigara na anaishi Tabata.
Rosemary Tesha - Ni mke wa Leodgar ,huyu mama yupo Hazina
Naona hii List ni watu wa Chang'ombe miaka ya 70 enzi za safari Tripers na Timu ya Soccer Avengers!!