Maisha yangu na baada ya miaka 50

BabaDesi

JF-Expert Member
Jun 30, 2007
6,032
3,944
Nafurahi kuwajulisha wana JF kuwa tarehe 8 Juni mwaka huu 2009 nitakuwa natimiza miaka 50 toka nilipozaliwa. Miongoni mwa mambo ninayotaka kufanya ni kufahamu walipo watu ambao kwa namna moja ama nyingine nilikutana nao katika hiyo miaka 50 ya maisha yangu. Tafadhali kama unamjua mmoja wapo ama una taarifa zake nijulishe na kama wewe ni mojawapo basi tafadhali ni-PM. Natanguliza Shukurani.

Leo naomba nianze na orodha wa watu niliosoma nao Chang'ombe shule ya Msingi kati ya mwaka 1970 nilipohamia hapo nikitokea St Anthony Tanga (siku hizi ni Changa Primary School) hadi mwaka 1973 nilipohama kwenda Mfaranyaki Songea.

Walimu:

1. Mr Kirwanda
2. Mr Nkani
3. Mr Matemu
4. Mr Sindamwaka - Mwalimu Mkuu
5. Mama Baruti
6. Mama Kunambi

Wanafunzi Wenzangu:

1. Norman Sabuni - alikuwa na kaka yake anaitwa Noel Sabuni na mdogo wake anaitwa Nina Sabuni. Kaka yao mkubwa alikuwa Raphael Sabuni wakati huo akiimbia STC Jazz na akina Marijani Rajab.

2. Hassan Zawayai
3. Zuberi Zayumba
4. Abraham Mwasongwe
5. Helena Sebastian
6. Gosbert Roderick na dada yake Esther Roderick
7. Georgina Rugimbana na dada yake Rosemary Rugimbana - walikuwa dada wa Jordan Rugimbana ambaye alikuwa nyuma yetu darasa moja na sasa ni mkuu wa Wilaya Kinondoni.

8. Mariam Himid
9. Lucy Mkande
10. Edith Masanja
11. Sarah Kilua
12. John Tesha
13. Rosemary Tesha
14. Mbiliyawaka Hango
15. Mohamed Adam
16. Patrick Rugemalira
17. Richard Kilandeka
18. Suna Said
19. Neema - jina la pili nimesahau lakini mama yake alikuwa
mwalimu hapo hapo Chang'ombe S/Msingi
20. Penina Mhando
21. Shabaani Mohamed na mdogo wake Faraji Mohamed
22. Selina Mkaja
23. Rizwan - Alikuwa muasia akiishi mitaa ya Chang'ombe
Jamatini.
 
Last edited:
Nafurahi kuwajulisha wana JF kuwa tarehe 8 Juni mwaka huu 2009 nitakuwa natimiza miaka 50 toka nilipozaliwa. Miongoni mwa mambo ninayotaka kufanya ni kufahamu walipo watu ambao kwa namna moja ama nyingine nilikutana nao katika hiyo miaka 50 ya maisha yangu. Tafadhali kama unamjua mmoja wapo ama una taarifa zake nijulishe na kama wewe ni mojawapo basi tafadhali ni-PM. Natanguliza Shukurani.

Leo naomba nianze na orodha wa watu niliosoma nao Chang'ombe shule ya Msingi kati ya mwaka 1970 nilipohamia hapo nikitokea St Anthony Tanga (siku hizi ni Changa Primary School) hadi mwaka 1973 nilipohama kwenda Mfaranyaki Songea.


Wanafunzi Wenzangu:

1. Norman Sabuni - alikuwa na kaka yake anaitwa Noel Sabuni na mdogo wake anaitwa Nina Sabuni. Kaka yao mkubwa alikuwa Raphael Sabuni wakati huo akiimbia STC Jazz na akina Marijani Rajab.

2. Hassan Zawayai
3. Zuberi Zayumba
4. Abraham Mwasongwe
5. Helena Sebastian
6. Gosbert Roderick na dada yake Esther Roderick
7. Georgina Rugimbana na dada yake Rosemary Rugimbana - walikuwa dada wa Jordan Rugimbana ambaye alikuwa nyuma yetu darasa moja na sasa ni mkuu wa Wilaya Kinondoni.

8. Mariam Himid
9. Lucy Mkande
10. Edith Masanja
11. Sarah Kilua
12.
14. Mbiliyawaka Hango
15. Mohamed Adam
16. Patrick Rugemalira
17. Richard Kilandeka
18. Suna Said
19. Neema - jina la pili nimesahau lakini mama yake alikuwa
mwalimu hapo hapo Chang'ombe S/Msingi
20. Penina Mhando
21. Shabaani Mohamed na mdogo wake Faraji Mohamed

BABADESI BAADHI YAO NI KAMA IFUATAVYO:-

Nina Sabuni kaolewa yuko Botwsana na mumewe na watoto
Mariam Himid anaishi Canada -
John Tesha - huyu alihamia Marekani
Rosemary Tesha - yuko Dar ameolewa ni mke wa Leodgar Tenga
 
BABADESI BAADHI YAO NI KAMA IFUATAVYO:-

Nina Sabuni kaolewa yuko Botwsana na mumewe na watoto
Mariam Himid anaishi Canada -
John Tesha - huyu alihamia Marekani
Rosemary Tesha - yuko Dar ameolewa ni mke wa Leodgar Tenga

WoS! Nakushukuru mno kwa taarifa hii hasa hii ya Rosemary Tesha!! Woman, ulipita Chang'ombe shule ya msingi ama uliwafahamu tu through mihangaiko ya maisha?
 
Patrick Rugemalira - Huyu jamaa yupo Minneapolis, Minnesota.

Penina Mhando - Prof. Penina alihamia Nairobi na bado yupo na masuala yake ya
ualimu na uandishi wa vitabu nafikiri amerudia jina lake la Mhando
kama sio Mlama.

Norman Sabuni - Alisoma huko Eastern Europe nafikiri bado yupo Lugalo Hospital
ni Daktari hapo.

Zuberi Zayumba - Huyu Jamaa nami nafahamiana nae vizuri tulipoteana muda mrefu,
tulionana mwaka jana Arusha katika Msiba wa James Mgani,Zuberi
yupo Sigara na anaishi Tabata.

Rosemary Tesha - Ni mke wa Leodgar ,huyu mama yupo Hazina

Naona hii List ni watu wa Chang'ombe miaka ya 70 enzi za safari Tripers na Timu ya Soccer Avengers!!
 
Patrick Rugemalira - Huyu jamaa yupo Minneapolis, Minnesota.

Penina Mhando - Prof. Penina alihamia Nairobi na bado yupo na masuala yake ya
ualimu na uandishi wa vitabu nafikiri amerudia jina lake la Mhando
kama sio Mlama.

Norman Sabuni - Alisoma huko Eastern Europe nafikiri bado yupo Lugalo Hospital
ni Daktari hapo.

Zuberi Zayumba - Huyu Jamaa nami nafahamiana nae vizuri tulipoteana muda mrefu,
tulionana mwaka jana Arusha katika Msiba wa James Mgani,Zuberi
yupo Sigara na anaishi Tabata.

Rosemary Tesha - Ni mke wa Leodgar ,huyu mama yupo Hazina

Naona hii List ni watu wa Chang'ombe miaka ya 70 enzi za safari Tripers na Timu ya Soccer Avengers!!


...kama ulikuwepo mkuu! Safari Trippers walikuwa wakifanya mazoezi yao kwenye nyumba moja pale mitaa ya Chang'ombe Maduka mawili enzi hizo Tukipaita Uhindini!
Wimbo wa Georgina tumeanza kuusikia hapo hata kabla haujaingia Redioni! Hapo pia unazungumzia mambo ya akina Comets, Rifters na Sunburst!

Naomba nifafanue Mkuu. Huyu Penina Mhando ninayemzungumzia siye yule mama wa Chuo Kikuu ambaye enzi hizo tulikuwa tunamfahamu kutokana na kitabu chake cha 'Hatia' ambacho ni miongoni mwa vitabu tulivyokuwa tukipenda kuvisoma.
Penina Mhando aliyekuwa classmate wangu alikuwa anakaa magorofa ya NHC karibu na karibu na lile ghorofa la wachina!
 
Nafurahi kuwajulisha wana JF kuwa tarehe 8 Juni mwaka huu 2009 nitakuwa natimiza miaka 50 toka nilipozaliwa. Miongoni mwa mambo ninayotaka kufanya ni kufahamu walipo watu ambao kwa namna moja ama nyingine nilikutana nao katika hiyo miaka 50 ya maisha yangu. Tafadhali kama unamjua mmoja wapo ama una taarifa zake nijulishe na kama wewe ni mojawapo basi tafadhali ni-PM.


Baba Desi heri ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa
.

Nahakika kama wapo humu wataku pm, assuming wanataka ku re-establish contacts with any piece of you!

Lakini sidhani kama hili jamvi lina watu wengi wa demographics yako. Nimegundua wengi aidha si watu wazima au hawa act their age. Ningefurahi sana kama mpo kina Baba Desi wengi mtuletee mitazamo ya angle yenu. Mnahitajika sana, and that's one thing I miss in this baraza. Watu mnaokumbuka foleni za kununua sukari na kadi za mgao wa petroli.

I gotta tell you one thing though. Inahitaji uvumilivu kuwepo hapa watu wa rika lako, na nashukuru uwepo wenu mtu ka wewe na wengine wanao sound matured and responsible, the Rev. Kishoka's of the forum, the Kichuguu's, JokaKuu's, Mwawado's, Jasusi's, QM, Mama's, Mzee Mwanakijiji's, Augustine Mosha's, SteveD, WomenofSubtanc, Blueray, Painkiller, the BubuAK's, Halisi, the Fundi Mchundo's of the jamvi and a handful others, I don't care how old you are, but I read you guys as sooo matured and full of gravitas. And of course, the illustrious FMES types, when he acts his age.

Maana kwa kweli kuna aina ya mandhari fulani humu yanaweza kufukuza watu wazima, and I put the blame squarely on Jakaya Kikwete himself, Invisible that is, maana ana very high tolerance na watu wa mizaha mizaha na mambo ya kitoto humu.

Again, hongera na heri ya siku ya kuzaliwa Baba Desi.
 
Baba Desi heri ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa.

Nahakika kama wapo humu wataku pm, assuming wanataka ku re-establish contacts with any piece of you!

Lakini sidhani kama hili jamvi lina watu wengi wa demographics yako. Nimegundua wengi aidha si watu wazima au hawa act their age. Ningefurahi sana kama mpo kina Baba Desi wengi mtuletee mitazamo ya angle yenu. Mnahitajika sana, and that's one thing I miss in this baraza. Watu mnaokumbuka foleni za kununua sukari na kadi za mgao wa petroli.

I gotta tell you one thing though. Inahitaji uvumilivu kuwepo hapa watu wa rika lako, na nashukuru uwepo wenu mtu ka wewe, the Rev. Kishoka's of the forum, the Kichuguu's, JokaKuu's, Mwawado's, Jasusi's, QM, Mama's, Mzee Mwanakijiji's, Augustine Mosha's, SteveD, WomenofSubtanc, Blueray, Painkiller, the BubuAK's, Halisi, the Fundi Mchundo's of the jamvi and a handful others, I don't care how old you are, but I read you guys as sooo matured and full of gravitas. And of course, the illustrious FMES types, when he acts his age.

Maana kwa kweli kuna aina ya mandhari fulani humu yanaweza kufukuza watu wazima, and I put the blame squarely on Jakaya Kikwete himself, Invisible that is, maana ana very high tolerance na watu wa mizaha mizaha na mambo ya kitoto humu.

Again, hongera na heri ya siku ya kuzaliwa Baba Desi.


...Such NICE Words! You Have Said It All. Thank You So Much, Dilunga. As For the JK a.k.a Invisible thing, that is a new one to me, creative and total outrageous! THANK YOU.
 
Last edited:

Baba Desi heri ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa
.

Nahakika kama wapo humu wataku pm, assuming wanataka ku re-establish contacts with any piece of you!

Lakini sidhani kama hili jamvi lina watu wengi wa demographics yako. Nimegundua wengi aidha si watu wazima au hawa act their age. Ningefurahi sana kama mpo kina Baba Desi wengi mtuletee mitazamo ya angle yenu. Mnahitajika sana, and that's one thing I miss in this baraza. Watu mnaokumbuka foleni za kununua sukari na kadi za mgao wa petroli.

I gotta tell you one thing though. Inahitaji uvumilivu kuwepo hapa watu wa rika lako, na nashukuru uwepo wenu mtu ka wewe na wengine wanao sound matured and responsible, the Rev. Kishoka's of the forum, the Kichuguu's, JokaKuu's, Mwawado's, Jasusi's, QM, Mama's, Mzee Mwanakijiji's, Augustine Mosha's, SteveD, WomenofSubtanc, Blueray, Painkiller, the BubuAK's, Halisi, the Fundi Mchundo's of the jamvi and a handful others, I don't care how old you are, but I read you guys as sooo matured and full of gravitas. And of course, the illustrious FMES types, when he acts his age.

Maana kwa kweli kuna aina ya mandhari fulani humu yanaweza kufukuza watu wazima, and I put the blame squarely on Jakaya Kikwete himself, Invisible that is, maana ana very high tolerance na watu wa mizaha mizaha na mambo ya kitoto humu.

Again, hongera na heri ya siku ya kuzaliwa Baba Desi.
Mkuu unaweza kumsaidia babadesi kwa kile alichokianzishia thread?
 
Mkuu unaweza kumsaidia babadesi kwa kile alichokianzishia thread?

Na unajuaje sijamsaidia pembeni? Maana hata Baba Desi mwenyeye anaweza asijue Dilunga ndio fulani, na si wote tutatundika hapa mimi Yo Yo ndio Amina, nimeolewa na Albert, na rafiki yetu Maimuna pia kazaa, yuko Cambodia, aliachika na Jumanne, mimba ya pili wakatoa ....oh no, no, please, give them a break, will you?

Lead post ina ishu ya kutimiza miaka 50, na hiyo ndio angle niliyopenda kuongelea. Au, kama ni strictly ishu ya kutafuta watu, pointi ya miaka 50 ya nini? Ilisemwa ya nini? Angeweza kusema mimi Baba Desi natafuta watu, period. Maana kutafuta watu si lazima ufike miaka 50 ndio uwakumbuke. The point is, Yo Yo, mwenzetu Baba Desi anasherehekea miaka 50 pia. Vingenevyo, pointi ya miaka 50 ingesemwa ya nini? Ha ahahahaaaaa! Yo Yo!
 
Nafurahi kuwajulisha wana JF kuwa tarehe 8 Juni mwaka huu 2009 nitakuwa natimiza miaka 50 toka nilipozaliwa. Miongoni mwa mambo ninayotaka kufanya ni kufahamu walipo watu ambao kwa namna moja ama nyingine nilikutana nao katika hiyo miaka 50 ya maisha yangu. Tafadhali kama unamjua mmoja wapo ama una taarifa zake nijulishe na kama wewe ni mojawapo basi tafadhali ni-PM. Natanguliza Shukurani.

Leo naomba nianze na orodha wa watu niliosoma nao Chang'ombe shule ya Msingi kati ya mwaka 1970 nilipohamia hapo nikitokea St Anthony Tanga (siku hizi ni Changa Primary School) hadi mwaka 1973 nilipohama kwenda Mfaranyaki Songea.

1. Mr Kirwanda - Mwalimu
2. Mr Nkani - ''
3. Mr Matemu - ''
4. Mr Sindamwaka - Mwalimu Mkuu
5. Mama Baruti - Mwalimu

Wanafunzi Wenzangu:

1. Norman Sabuni - alikuwa na kaka yake anaitwa Noel Sabuni na mdogo wake anaitwa Nina Sabuni. Kaka yao mkubwa alikuwa Raphael Sabuni wakati huo akiimbia STC Jazz na akina Marijani Rajab.

2. Hassan Zawayai
3. Zuberi Zayumba
4. Abraham Mwasongwe
5. Helena Sebastian
6. Gosbert Roderick na dada yake Esther Roderick
7. Georgina Rugimbana na dada yake Rosemary Rugimbana - walikuwa dada wa Jordan Rugimbana ambaye alikuwa nyuma yetu darasa moja na sasa ni mkuu wa Wilaya Kinondoni.

8. Mariam Himid
9. Lucy Mkande
10. Edith Masanja
11. Sarah Kilua
12. John Tesha
13. Rosemary Tesha
14. Mbiliyawaka Hango
15. Mohamed Adam
16. Patrick Rugemalira
17. Richard Kilandeka
18. Suna Said
19. Neema - jina la pili nimesahau lakini mama yake alikuwa
mwalimu hapo hapo Chang'ombe S/Msingi
20. Penina Mhando
21. Shabaani Mohamed na mdogo wake Faraji Mohamed

Hongera sana kwa kukatiza nusu ya karne.
Noel Sabuni(a.k.a Nobi) huyu mheshiwa yupo Dar na Kampuni moja inayotoa huduma ya bima ya afya inayoitwa Prosperity Health. Yeye atakueleza kwa wakati huu mdogo wake alipo Norman kama bado yupo Lugalo au la.
 
BabaDeci
Nakupa hongera kwa kuikaribia nusu karne siku chache zijazo. Mungu akujalie afya njema ili uweze kuiona karne nzima.
Mzee Punda
 
baba desi hongera sana, nina imani waliowengi humu wako nusu au karibu na robo tatu ya umri wako! ni jambo la kujivunia ukizingatia na maisha halisi ya sasa..be blessed na maisha mema, lakini you sound like mchezaji mwenzangu kwenye team ya maveteran maeneo ya beach kulee, if yes salute! lazima mnyama amwage damu, tena ngómbe na sio mbuzi
 
baba desi hongera sana, nina imani waliowengi humu wako nusu au karibu na robo tatu ya umri wako! ni jambo la kujivunia ukizingatia na maisha halisi ya sasa..be blessed na maisha mema, lakini you sound like mchezaji mwenzangu kwenye team ya maveteran maeneo ya beach kulee, if yes salute! lazima mnyama amwage damu, tena ngómbe na sio mbuzi

...Asante Mkuu! mmm, huko sio sana! mara moja moja huwa naibuka pale kwa maveteran wa Basketball pale Viwanja vya Gymkhana karibu na bahari lakini zaidi ni jogging za kwenye mchanga na pia mitaa ya jangwani na Upanga!!
 
Back
Top Bottom