BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Nafurahi kuwajulisha wana JF kuwa tarehe 8 Juni mwaka huu 2009 nitakuwa natimiza miaka 50 toka nilipozaliwa. Miongoni mwa mambo ninayotaka kufanya ni kufahamu walipo watu ambao kwa namna moja ama nyingine nilikutana nao katika hiyo miaka 50 ya maisha yangu. Tafadhali kama unamjua mmoja wapo ama una taarifa zake nijulishe na kama wewe ni mojawapo basi tafadhali ni-PM. Natanguliza Shukurani.
Leo naomba nianze na orodha wa watu niliosoma nao Chang'ombe shule ya Msingi kati ya mwaka 1970 nilipohamia hapo nikitokea St Anthony Tanga (siku hizi ni Changa Primary School) hadi mwaka 1973 nilipohama kwenda Mfaranyaki Songea.
Walimu:
1. Mr Kirwanda
2. Mr Nkani
3. Mr Matemu
4. Mr Sindamwaka - Mwalimu Mkuu
5. Mama Baruti
6. Mama Kunambi
Wanafunzi Wenzangu:
1. Norman Sabuni - alikuwa na kaka yake anaitwa Noel Sabuni na mdogo wake anaitwa Nina Sabuni. Kaka yao mkubwa alikuwa Raphael Sabuni wakati huo akiimbia STC Jazz na akina Marijani Rajab.
2. Hassan Zawayai
3. Zuberi Zayumba
4. Abraham Mwasongwe
5. Helena Sebastian
6. Gosbert Roderick na dada yake Esther Roderick
7. Georgina Rugimbana na dada yake Rosemary Rugimbana - walikuwa dada wa Jordan Rugimbana ambaye alikuwa nyuma yetu darasa moja na sasa ni mkuu wa Wilaya Kinondoni.
8. Mariam Himid
9. Lucy Mkande
10. Edith Masanja
11. Sarah Kilua
12. John Tesha
13. Rosemary Tesha
14. Mbiliyawaka Hango
15. Mohamed Adam
16. Patrick Rugemalira
17. Richard Kilandeka
18. Suna Said
19. Neema - jina la pili nimesahau lakini mama yake alikuwa
mwalimu hapo hapo Chang'ombe S/Msingi
20. Penina Mhando
21. Shabaani Mohamed na mdogo wake Faraji Mohamed
22. Selina Mkaja
23. Rizwan - Alikuwa muasia akiishi mitaa ya Chang'ombe
Jamatini.
Leo naomba nianze na orodha wa watu niliosoma nao Chang'ombe shule ya Msingi kati ya mwaka 1970 nilipohamia hapo nikitokea St Anthony Tanga (siku hizi ni Changa Primary School) hadi mwaka 1973 nilipohama kwenda Mfaranyaki Songea.
Walimu:
1. Mr Kirwanda
2. Mr Nkani
3. Mr Matemu
4. Mr Sindamwaka - Mwalimu Mkuu
5. Mama Baruti
6. Mama Kunambi
Wanafunzi Wenzangu:
1. Norman Sabuni - alikuwa na kaka yake anaitwa Noel Sabuni na mdogo wake anaitwa Nina Sabuni. Kaka yao mkubwa alikuwa Raphael Sabuni wakati huo akiimbia STC Jazz na akina Marijani Rajab.
2. Hassan Zawayai
3. Zuberi Zayumba
4. Abraham Mwasongwe
5. Helena Sebastian
6. Gosbert Roderick na dada yake Esther Roderick
7. Georgina Rugimbana na dada yake Rosemary Rugimbana - walikuwa dada wa Jordan Rugimbana ambaye alikuwa nyuma yetu darasa moja na sasa ni mkuu wa Wilaya Kinondoni.
8. Mariam Himid
9. Lucy Mkande
10. Edith Masanja
11. Sarah Kilua
12. John Tesha
13. Rosemary Tesha
14. Mbiliyawaka Hango
15. Mohamed Adam
16. Patrick Rugemalira
17. Richard Kilandeka
18. Suna Said
19. Neema - jina la pili nimesahau lakini mama yake alikuwa
mwalimu hapo hapo Chang'ombe S/Msingi
20. Penina Mhando
21. Shabaani Mohamed na mdogo wake Faraji Mohamed
22. Selina Mkaja
23. Rizwan - Alikuwa muasia akiishi mitaa ya Chang'ombe
Jamatini.
Last edited: