Maisha yangu na baada ya miaka 50

Hongera sana na nakutakia miaka mingi yenye positive contribution kwa Taifa letu hili.


Asante, Mkuu! Ningependa pia kuchukua nafasi hii kutaarifu kuwa miongoni mwa hawa classmates wangu, kuna wawili ambao nimeishawasiliana nao na ambao kwa bahati nzuri sana wote birthday yao ya kusherehekea miaka 50 ni mwaka huu.
Mmoja amesherehekea mwezi huu wa May na mwingine ya kwake atasherehekea mwezi wa Julai. Kwa pamoja, Tunamshukuru MUNGU kwa bahati kubwa kama hii!
 
Mkuu salam kisha Uhongere Desi na mama Desi nao wahongere nina mawasiliano na mmoja wa madada uliosoma nao ni jamaa wa karibu bi Lucy Mkhande ni kweli anaishi London nitajaribu nimfikishie ujumbe huu. Je baada ya kuondoka Tanga ulikua ulirudi kwa likizo za shule? na kkma ndio ukiishi mitaa au maeneo gani?
 
baba desi ....nami nakukumbuka sana........nilikuwa nakaa kule mtaa wa chamwenyewe.....kwa nyuma ukitokea pale maduka mawili.....nakumbuka kulikuwa na mihogo ya kukaanga mitamu sana pale michichani karibu na bakwata.........dah.....zamani raha kweli.....manake unatembea pekupeku toka changombe kupita toroli,kekomwanga mpaka kariakoo bila wasiwasi.....dah sasa nipo ughaibuni 30years ninamisi sana home...

Rudi nyumbani....zamazamani.....hivi 30yrs out of your country kweli....hujaona umuhimu wa kurudi?
 
Mkuu salam kisha Uhongere Desi na mama Desi nao wahongere nina mawasiliano na mmoja wa madada uliosoma nao ni jamaa wa karibu bi Lucy Mkhande ni kweli anaishi London nitajaribu nimfikishie ujumbe huu. Je baada ya kuondoka Tanga ulikua ulirudi kwa likizo za shule? na kkma ndio ukiishi mitaa au maeneo gani?

Asante kwa Ujumbe na Hongera. Nitawafikishia pia hongera zao Desi na mama Desi. Nitashukuru mno kama utampa Lucy ujumbe huu. Ukweli ni kwamba kwa vile nilikuwa nikihama na wazazi, si unajua tena mambo ya kazi, nilipoondoka hapo mtaa wa Ngorongoro No 98 sikurudi tena na likizo zikawa za kwenda nyumbani tu, Lushoto. Nimepita hapo miaka ya karibuni na pamebadilika mno! Maeneo yote yaliyokuwa wazi na vichochoro vyote vilivyokuwa vinaunganisha mtaa mmoja na mwingine vyote vimezibwa na majengo! Inasikitisha.
 
Rudi nyumbani....zamazamani.....hivi 30yrs out of your country kweli....hujaona umuhimu wa kurudi?


Buswelu!! inawezekana mkuu alikuwa anakuja likizo mara moja moja maana kwa kweli miaka 30 nje ya nchi ni mingi!!
 
Georgina Rugimbana yuko pale pale kwao Kurasini jirani na chuo cha diplomasia. Dada yake yuko Uingereza.
 
Georgina Rugimbana yuko pale pale kwao Kurasini jirani na chuo cha diplomasia. Dada yake yuko Uingereza.

...hata wakati huo alikuwa anaishi mitaa hiyo hiyo. Ila nadhani patakuwa pamebadilika sana sasa. Asante mkuu. Kama ni mtu wa karibu unaweza ukampa hizi salamu! Natanguliza Shukurani.
 
...The Big Day. May I please Take This Opportunity to Invite All JF Members To Be With Me SPIRITUALLY Today As I THANK GOD For Enabling Me To Reach 50 Years of Age! May I Please Insist on the SPIRITUALLY Request As There Will Be No WORDLY Celebrations For The Event! Thank You All.
 

Baba Desi heri ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa
.

Nahakika kama wapo humu wataku pm, assuming wanataka ku re-establish contacts with any piece of you!

Lakini sidhani kama hili jamvi lina watu wengi wa demographics yako. Nimegundua wengi aidha si watu wazima au hawa act their age. Ningefurahi sana kama mpo kina Baba Desi wengi mtuletee mitazamo ya angle yenu. Mnahitajika sana, and that's one thing I miss in this baraza. Watu mnaokumbuka foleni za kununua sukari na kadi za mgao wa petroli.

I gotta tell you one thing though. Inahitaji uvumilivu kuwepo hapa watu wa rika lako, na nashukuru uwepo wenu mtu ka wewe na wengine wanao sound matured and responsible, the Rev. Kishoka's of the forum, the Kichuguu's, JokaKuu's, Mwawado's, Jasusi's, QM, Mama's, Mzee Mwanakijiji's, Augustine Mosha's, SteveD, WomenofSubtanc, Blueray, Painkiller, the BubuAK's, Halisi, the Fundi Mchundo's of the jamvi and a handful others, I don't care how old you are, but I read you guys as sooo matured and full of gravitas. And of course, the illustrious FMES types, when he acts his age.

Maana kwa kweli kuna aina ya mandhari fulani humu yanaweza kufukuza watu wazima, and I put the blame squarely on Jakaya Kikwete himself, Invisible that is, maana ana very high tolerance na watu wa mizaha mizaha na mambo ya kitoto humu.

Again, hongera na heri ya siku ya kuzaliwa Baba Desi.

Mkuu, I totally agree with on this. Thanks a lot for being truthful.
 
Baba Desi, Happy Birthday may you live to blow 101 candles and I wish you and your lovely family a lovely and very enjoyable day. Congrats! kwa kukata nusu karne na bado ukiwa katika afya njema.
 
Baba Desi, a very happy birthday to you.
Nilipoisoma hii thread mara ya kwanza ulipoiweka nikasema nisubiri siku hii nikutakie heri na maisha mema pia uendelee kuishi sana na kuona mengi.
 
...The Big Day. May I please Take This Opportunity to Invite All JF Members To Be With Me SPIRITUALLY Today As I THANK GOD For Enabling Me To Reach 50 Years of Age! May I Please Insist on the SPIRITUALLY Request As There Will Be No WORDLY Celebrations For The Event! Thank You All.

Happy birthday BabaDesi!!!! Spiritially I am always with you, but today I love to be invited to share the big day cake. Will you???
 
...Thank You All For The Good Wishes, Especially Those Wishing Me Another 50 Birthdays! Naturally! The Day Is Over. Now Let Us All Get Down To The Serious Business Of Being The Home Of Great Thinkers....!
 
Happy birthday BabaDesi!!!! Spiritially I am always with you, but today I love to be invited to share the big day cake. Will you???

....Will You believe Me When I Say That With So Many Wajukuuz, Wajombaz and Such, Just A Few Seconds After I Blew Out The 50 Candles, The Cake Was NoWhere To Be Seen and The Only Thing Still Standing On The Plate Were just My 50 Candles....!?;);)
 
Aisee umesema chang'ombe primary ukanikumbusha mbali sana, ilikuwa shule flani ya kishua kiaina na vigae vyake vile! Huyo Anet Kibwasali alishatangulia mbele ya haki kitambo.
 
Back
Top Bottom