ha haaaa
naogopa ukisoma na kuelewa waweza start to believe
he is cheating you everyday
na wewe uka get even lol
too much knowledge can be dangerous
umewahi pia jifunza how to read people thru their body language?????/
ukiijua hiyo hata mama yako mzazi hataweza kukudanganya....
mimi huwa naweza kumsoma mtu thru body language hadi naogopa lol
In blue usijali siwezi kabisa get even... alafu yupo mbali thus deep down
i do know kua kuna probality kubwa kua ana infidel.... but still sina mpango
wa kua even...
The last para.. I am really good at that... ni mmoja wa wale watu huweza
detect something kuhusu mtu or btn watu thru their body languages...lol
mimi my greatest fear ni hilo
yaani huwa najua the truth always
ni kama it is impossible to lie to me...
hadi najiogopa lol
Mimi hua sometimes najua kua my man is lying to me
But naona kabisa yuko comfortable na anaamini kua
nimemuamini hali ni otherwise... hua namuacha hivo hivo
ili niendelee kumsoma bila yeye kua aware kua i know
he is lying... na kama ni muhim nachua clue yoyote kujifanya
kua when he lied niliamini ila kuna the other side pia nime observe...
Sasa Boss wewe hapo wajiogopa nini hali ni adv...lol
inaogopesa mno kwa mwanaume
mfano ujue mwenzio katoka kumegwa....
usiombe,na pengine huna ushaihidi,just
ur sixth sense ambayo,haikudanganyagi...
inaogopesha unaweza kuua mtu,au hujui???
Nitakugagua mpaka nipate ushahidi... siku hio utashangaa
natoka saa tano usiku kuosha gari yako... ama kuanza kufua nguo
au kudai ligi ya dakika zoote 90...
na ukisha thibitisha je?
- Najikagua kama i have changed.. i.e. mvuto, 6/6, macare..
- Najiiuliza/reminisce when doing it when did we really both mutually in to it
- Nachunguza kama imeathiri tendo ndani...
- Natafuta mhusika... kujua ni nini hasa kanizidi kwa nje maana najua maeneo husika niko fit...
utakuja kupata depression kama uko hivyo
wanaume hatutoki nje kwa kuwa ndani kuna tatizo
its different,sometimes its jun for fun
Kitu kimoja i know.. ni kua akifanya for fun... akirudi atakua na hamu
na mimi, na itakua ngumu kwangu hata kutambua...
but akifanya mpaka nikagundua... then evident trouble... inatakiwa kujipanga si kubweteka...
angalau umezungumza kitu cha maana now
very few womens wanaoelewa hivyo
kuwa tukitoka nje,tunarudi na hamu zaidi
which is better for you pia
<br />Be your best katika mahusiano<br />
Na toa Mapenzi yako yoote ya dhati..<br />
kwa mtindo huo hata ikishindikana unajua<br />
at least you tried but ilishindikana kuliko <br />
kujilaumu... Ningejua.. ningejua...
Kuna wakati hapo zamani niliwahigi kusema infidelity is inevitable.
.........naomba ufafanuzi kuhusu kutoa mapenzi yote..........................................Be your best katika mahusianoNa toa Mapenzi yako yoote ya dhati..kwa mtindo huo hata ikishindikana unajuaat least you tried but ilishindikana kuliko kujilaumu... Ningejua.. ningejua...
<br />.........naomba ufafanuzi kuhusu kutoa mapenzi yote..........................................
<br />Mpende kwa dhati, mthamini na kumjali, jitume kutafuta kwa faida ya familia then wathamini ndugu zake km uthaminivyo ndugu zako (ucwe mbaguzi), jitahidi kuwa msikivu na mwaminifu!
<br />angalau umezungumza kitu cha maana now<br />
very few womens wanaoelewa hivyo<br />
kuwa tukitoka nje,tunarudi na hamu zaidi<br />
which is better for you pia