BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
AD,fanya kitu ile roho inapenda ,kama hujaolewa huna haja ya kustick kwa mtu asiyejua thamani yako,na ukia hueleweki ndio wanakuganda ukiwa mtulivu unasumbuliwa sana...aaarghhh haya mambo jipe tu raha mpaka ufungwe hizo pingu
<br />
<br />saa nyingine waweza<br />
toa kila ulichonacho...<br />
upendo wa hali ya juu <br />
lakini muda ukifika umefika...<br />
<br />
sucks.........
<br />