Maisha gani?

AD,fanya kitu ile roho inapenda ,kama hujaolewa huna haja ya kustick kwa mtu asiyejua thamani yako,na ukia hueleweki ndio wanakuganda ukiwa mtulivu unasumbuliwa sana...aaarghhh haya mambo jipe tu raha mpaka ufungwe hizo pingu
saa nyingine waweza<br />
toa kila ulichonacho...<br />
upendo wa hali ya juu <br />
lakini muda ukifika umefika...<br />
<br />
sucks.........
<br />
<br />
 
Looo yani utoke kwangu uwe na hamu bado,over my dead body, yaani hiyo kazi nitakayokupigia sijui utaenda kutoa nn huko labda upepo na vijambo tu,hahahahahaha joke&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Hahahaha Blackberry wee mkare lol
 
AD,fanya kitu ile roho inapenda ,kama hujaolewa huna haja ya kustick kwa mtu asiyejua thamani yako,na ukia hueleweki ndio wanakuganda ukiwa mtulivu unasumbuliwa sana...aaarghhh haya mambo jipe tu raha mpaka ufungwe hizo pingu<br />
<br />

Mamito asante
lakini AD ni yeye tu na AD
hana pressure wala nini...
alikuwa anakumbukia tu ....
kipindi kile kitamu..


kila kizuri kina mwisho wake............
 
hata ungenidhania mie ni nani bado wewe KALUMEKENGE HAUNIHUSU,kama matusi hapa tutakesha usidhanie hakuna anayeyajua nyau wewe!

hebu acha lugha chafu wewe! Juz nilikuponda live kwenye thread ya dogo kule ulipodai wadada wote mnapenda pesa, sasa hapa napo unadhihirisha kwa jinsi gani hekima kwako ilivyo ZERO.
 
I am as consistent as they come when it comes to beliefs, principles, and positions. Flip-flopping is not my trademark. Case in point, my signature. I've had this signature way before JF came into existence.
<br />
<br />
So it is MIAFRIKA NDI VYO ILIVYO, is that true Mr. NN?
 
Hapo you will waste your breath... mtu akiongea tu hivo ni beyond reasoning... nafikiri ndo maana most tume ignore tu!
<br />
<br / Naunga mkono hoja 100%. Kuna watu kuliko u argue nao bora u save your energy.
 
usiniwekee usiku na wewe kima,ukidhania mie zero unanipunguzia au kuniongezea nini mie......kwa taarifa yako majibu yako ya ile thread inaonyesha usivyo mstaarabu hata kidogo na unapenda ligi za mchangani,hamna hata moja ulilokuwa unaandika lenye substance ....basi tu nilitumia ustaarabu kuacha ligi na wewe......LASTLY KOMA KUNIFATILIA na views zangu,my opinion will remain my opinion AM ENTITLED TO IT...KALUMEKENGE WEEE,HUJAONA HAPO NILITUKANWA ILA MIE KURUDISHIA NDIO IMEKUWA ISSUE KWAKO????KAMA NA WEWE UNATAKA LIGI NA MIE SEMA SIKUOGOPI KENGE WE!

Aiseeeee!
 
usiniwekee usiku na wewe kima,ukidhania mie zero unanipunguzia au kuniongezea nini mie......kwa taarifa yako majibu yako ya ile thread inaonyesha usivyo mstaarabu hata kidogo na unapenda ligi za mchangani,hamna hata moja ulilokuwa unaandika lenye substance ....basi tu nilitumia ustaarabu kuacha ligi na wewe......LASTLY KOMA KUNIFATILIA na views zangu,my opinion will remain my opinion AM ENTITLED TO IT...KALUMEKENGE WEEE,HUJAONA HAPO NILITUKANWA ILA MIE KURUDISHIA NDIO IMEKUWA ISSUE KWAKO????KAMA NA WEWE UNATAKA LIGI NA MIE SEMA SIKUOGOPI KENGE WE!

Jaribu kuwa mstaarabu japo kidogo, mm kukwambia kuwa lugha uliyotumia sio nzuri nimefanya kosa.
Then hapa umetukanwa na nani?cjaona mahali ambapo umetukanwa! Unajiaibisha mwenyewe.
 
Inatosha wajamani tunaomba amani,jamvi hili ni la amani na utulivu
 
Prayers my dia is the best, alimuumba ndio amlinde, so its your responsibilities to pray hard for him or her,things will be ok.
 
fuatilia posts pale juu utaona nimetukanwa in english na huyo **** by the way nikijiaibisha wewe shida yako nini???mind your own damn buzziness ukiwa hapa!

nimetazama na cjaona ulipotukanwa, yani unashindwa kuwa mstaarabu kwa vitu kama hv!
Poa leo j'2 acha nikuache maadam nimeshajua ww ni mtu wa aina gani!
 
usiniwekee usiku na wewe kima,ukidhania mie zero unanipunguzia au kuniongezea nini mie......kwa taarifa yako majibu yako ya ile thread inaonyesha usivyo mstaarabu hata kidogo na unapenda ligi za mchangani,hamna hata moja ulilokuwa unaandika lenye substance ....basi tu nilitumia ustaarabu kuacha ligi na wewe......LASTLY KOMA KUNIFATILIA na views zangu,my opinion will remain my opinion AM ENTITLED TO IT...KALUMEKENGE WEEE,HUJAONA HAPO NILITUKANWA ILA MIE KURUDISHIA NDIO IMEKUWA ISSUE KWAKO????KAMA NA WEWE UNATAKA LIGI NA MIE SEMA SIKUOGOPI KENGE WE!


Tumieni PM basi hapa hadharani papai atawaona
 
Back
Top Bottom