X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Vijana wawili katika harakati za kutafuta kazi, waliingia kwenye Mahojiano ya kazi, marafiki wawili hao walikuwa wakisaidiana mambo mbalimbali ya kimaisha walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko vizuri kichwani ili akitoka ampatie mwenzie majibu.
Kwakuwa muda ulikuwa mdogo sana na watahiniwa walishagundua kuwa maswali yalikuwa yakijirudia basi yule jamaa aliyeingia wa kwanza alipotoka akaamua kumpatia mwenzie majibu tu.
Swali: when was Tanzania independence?
Jibu: it was suppose to be 1960 but it postponed to 1961 due to many reasons.
Swali: who brought independence?
Jibu: So many perticipated but it was mwalimu Nyerere and Kawawa who finalised it.
Swali: It believes that in mars there are living things, do you believe it?
Jibu: some say yes, some say no but scientists are still investigeting.
Sasa alipoingia yule kijana ambaye uwezo wake darasani haukuwa mzuri na kwakuwa alikuwa amekariri majibu tu ilikuwa ni patashika humo ndani ya chumba cha mtihani.
Swali: When were you born?
Jibua: It was suppose to be 1960 but postponed to 1961.
Swali: what!? Who is your father by the way.
Jibu: So many perticipated but it was mwalimu Nyerere and Kawawa who finalised it.
Swali: oh my god! Are you crazy?
Jibu: Some say yes, some say no but scientists are still investigeting.
Kwakuwa muda ulikuwa mdogo sana na watahiniwa walishagundua kuwa maswali yalikuwa yakijirudia basi yule jamaa aliyeingia wa kwanza alipotoka akaamua kumpatia mwenzie majibu tu.
Swali: when was Tanzania independence?
Jibu: it was suppose to be 1960 but it postponed to 1961 due to many reasons.
Swali: who brought independence?
Jibu: So many perticipated but it was mwalimu Nyerere and Kawawa who finalised it.
Swali: It believes that in mars there are living things, do you believe it?
Jibu: some say yes, some say no but scientists are still investigeting.
Sasa alipoingia yule kijana ambaye uwezo wake darasani haukuwa mzuri na kwakuwa alikuwa amekariri majibu tu ilikuwa ni patashika humo ndani ya chumba cha mtihani.
Swali: When were you born?
Jibua: It was suppose to be 1960 but postponed to 1961.
Swali: what!? Who is your father by the way.
Jibu: So many perticipated but it was mwalimu Nyerere and Kawawa who finalised it.
Swali: oh my god! Are you crazy?
Jibu: Some say yes, some say no but scientists are still investigeting.