Kigoma 2015
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 371
- 93
Jana ktk kipindi cha Power breakfast walitangaza kuwa watakua na mahojiano LIVE leo asubuh na waziri wa elimu kwa hyo watu watume maswali yao yatajibiwa.
Cha kushangaza ni kuwa wakati wao wakitangaza kua wapo LIVE na Dr Shukuru Kawambwa mimi nimemuona LIVE bungeni tena akijibu swali.
G. HANDO na mwenzako BABRA hebu acheni kuwaongopea wananchi. Huo ni UHUNI.
Cha kushangaza ni kuwa wakati wao wakitangaza kua wapo LIVE na Dr Shukuru Kawambwa mimi nimemuona LIVE bungeni tena akijibu swali.
G. HANDO na mwenzako BABRA hebu acheni kuwaongopea wananchi. Huo ni UHUNI.