CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Hii ingempata Malima katu asingeibiwa na ingekuwa hadithi nyingine kabisa saa hizi
Alikuwa anatumia muda wa lunch..Mbona ipo sana hiyo ktk ofisi nyingi sana.Lunch time unakuwa muda wa ngono...Ndo muda mzuri huo ni kisingizio kizuri upo kazini na kazini nako unaaga mtoto anaumwa au umefiwa na mwenye nyumba
Kwa nyie msio na ndoa ni kupigwa mashine upendavyo, na "mchumba" akikuzingua unamwambia "chapa lapa"....hahahaaa!kaaazi kweli kweli na utamu wa vya kuiba nao unazidi kukolea,kazi kwenu wanandoa
eeh, ama kweli ngono imechukua nafasi yake these days..... yaani watu wako guest saa nane mchana?
Hata mimi hizi hadithi za mwana malundi siziamini kabisaaa!, mpaka nione!, yaani mtu asijisumbue kunipa ushuhuda!I will believe it when I see it with my own two eyes.
Usiseme kwa sauti watasikia wanajua naumwa nipo Nairobi kimatibabu
Ukiona ni ndugu yako utajisikiaje
Mke na mme wamenasana jana wakifanya mapenzi guest house mjini Tunduma jana saa 8 mchana. Mahawahara hao kila mmoja ana ndoa yake juhudi zilifanyika kuwakimbiza hospt Mbozi mpaka sasa bado wameng'ang'aniana wenzetu wamassai wanasema imemesa mwenzie. Haijaeleweka nani aliyetega sumaku hiyo.Naendelea kufuatilia kila hatua nitawajuza.
Updates
=========================================
Bado wapo hospitali Vwawa madaktari wanashindwa kuwanasua maana aidha wakate uume wa mwanaume ambapo itamghalimu maisha yake kukata uke nao imeshindikana wanamtafuta aliye fanya sayansi hiyo.
Walikuwa wanaburudika kwa style ya kifo cha mende.
Walikuwa Guest moja inaitwa Kampala ipo karibu na Tanesco pale Tunduma
Hii ingempata Malima katu asingeibiwa na ingekuwa hadithi nyingine kabisa saa hizi[/QUO
he he he he ingefichwa hiyo hata tusingeijua
Alikuwa anatumia muda wa lunch..Mbona ipo sana hiyo ktk ofisi nyingi sana.Lunch time unakuwa muda wa ngono...
Ndo muda mzuri huo ni kisingizio kizuri upo kazini na kazini nako unaaga mtoto anaumwa au umefiwa na mwenye nyumba