Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Ndo muda mzuri huo ni kisingizio kizuri upo kazini na kazini nako unaaga mtoto anaumwa au umefiwa na mwenye nyumba
Naona umeongea kiujuzi zaidi na uzoefu wewe kijana mzima lakini??? Mbona hupatikani
Ndo muda mzuri huo ni kisingizio kizuri upo kazini na kazini nako unaaga mtoto anaumwa au umefiwa na mwenye nyumba
shigoooooooooooongoooooooooooooooo fffffffffffeeeeeeeeeeeeeeemmmmmmmmmmmmmmmmmuuuuuuuu
Nimewekwa kinyumba na jimama la kitusi mi kula alafu mapenzi kisha kulala
vizuri sana nadhani akijunasua hatarudia tena. ila inaumaaaaa.
amepuliziwa RUNGU a.k.a DUMUUmekalia nini? Mbona unapiga mayowe?
Si mpaka ajinasue, inaweza kuwa ndio mwisho wake huovizuri sana nadhani akijunasua hatarudia tena. ila inaumaaaaa.
i see....
haya ndo madhara ya kubinjuka na mali za watu....
wale wapenda infed. mpo??????:A S 13:
Nimeahirisha kwa muda appointment yangu ya leo