Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
mambo yanaendeleaje Fidel80? bado wanapumua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo...........mambo yanaendeleaje Fidel80? bado wanapumua?
nije wapi sasa? kufanya nini?njoo...........
Utashuhudia siku ukinaswa wewe. Chukua tahadhari kwa kuepuka 'wizi'Mie nasikia tu haya mambo sijayaona kama kweli mbona fedhehaaa.
Nasikia Jamaa Giza Lilipoingia Akaendeleza Majamboz
Bullcrap, hakuna kitu kama hicho. Ndo maana waafrika hatuendelei na mi imani imani isiyokuwa na kichwa wala ubongo.
Mie nasikia tu haya mambo sijayaona kama kweli mbona fedhehaaa.
kila mtu huvuna anachopanda, akipanda mema atavuna mema akipanda mabaya kama kutembea na mke/mme wa mtu huvuna ubaya
Furaha inayoambatana na uovu haidumu
Nahisi mtegaji ni mweneyeji wa Tanga, wana mawivu kwa wake zao hao lakini wao malayaaaaaa
Wamenasa kama hawa hapa chini kwenye link.
nyeti za mwanaume kung'ang'ania kwa mwanamke wa mtu - YouTube