:scared: Njoo Iringa, utatengenezewa nyingi tu kwa wake na hata mabinti :mullet:
Hakuna ya kuwatega wanaume?
Maana mara zote mume ndiye anayetakiwa kutoa idhini ya kutenganisha
:scared: Njoo Iringa, utatengenezewa nyingi tu kwa wake na hata mabinti :mullet:
akijinasua
Weka picha!
post ya mwaka 2012Weka picha bwana
wao ni wezi , walikuwa wanapigana miti kiwiziwizieeh, ama kweli ngono imechukua nafasi yake these days..... yaani watu wako guest saa nane mchana?
Ndio mda muafaka kwa mume/mke wa mtuSaa nane mchana?? Kweli watu wanapenda ngono kha??!!!
Poleni wenye uoga wa kutafuniwa wake zenu. Mi nafikiliaga akifanya hivyo lazima amekuchoka, hata ukibembeleza na kuhonga jua unapoteza mda wako. Hapo mi nakuacha faster kama genye nyingi naanzisha upya kwingineMkuu fanya harakati upate contacts za mweza wa huyo aliyemtega mwenzake ili nasisi tumtafute huyo mganga atuzindikia na nimtafutie dili maana huku wake za watu navyowaona wanavyofanya ni soooo!!