Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Another dark hour in Tanzania's horrible justice system! Mnakumbuka huyu JK mwaka 2008 Agosti alikwenda Bungeni kuweka mashitaka na pia kutoa hukumu ya washitakiwa wa EPA? Ilikuwa ni maajabu makubwa katika historia ya nchi hii.