vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,804
- 2,187
Huyu naye yupo kwenye kampeni?
Kweli boti linazama waz wazi
Subiri Le Mutus akiungana na akina Lusindo na Magulu hapo ndio kampeni itakuwa ngoma inogile
Huyu naye yupo kwenye kampeni?
Kweli boti linazama waz wazi
I PERSONAL BELIEVE IN MAGUFURI,
but its PARTY!
BAHARI YA WACHAFU NA WENYE WINGI WA HILA
Baadae tusiseme tumeibiwa...
Haiwezekati CCM ikose wapiga kura 15 kila tawi...
Huo hauwezi kuwa mfano kwa sababu matawi mengi yana wanachama wakongwe na baadhi ya wanachama wameshakata tamaa na chama.Wengine ni team Lowassa na watu wengi waliofikisha umri wa kupiga kura kipindi hiki hawajajiunga na hicho chama.Pia siyo kila tawi lina wanachama wa uhakika kwa sababu matawi mengi hufunguliwa kwa malengo maalumu likiwemo la kuvuna pesa kutoka kwa wagombea kwa hiyo siyo kila tawi lina kura za uhakika.Lakini usisahau kuwa watu wengi wasiokuwa na vyama wapo upande wa pili na ndio idadi kubwa ya wapiga kura so endelea kujipa moyo na matawi yako tupu yasiyokuwa na majani,Mabadilikoooooooo?SUPER SUB.SUPER SUB?Lowassaaaaaaaaaaaaaaaa.
DuppyConqueror umepita huku umuone Magufuli anavyolia? Jana niliona huo mkutano walivyokuwa wanajifariji.
Hii kiboko mlikuwa nayo siku zote zaidi ya miaka 20 kama ni kiboko kweli mlisubiri nini kukileta miaka kumi au hata kumi na tano iliyopita hadi nchi imezama kwenye tope? mbona nasikia huko kwenye mizani tu rushwa imejaa? sasa kaidara chini yake kananuka rushwa halafu bado ni kiboko? msifikiri watanzania wa leo ni malofa au samaki wa kuvuliwa kwa nyavu zile zile na ndoano zile zile miaka nenda rudi. Mmemtoa Lowassa kafara ili mubebe agenda ya ufisdi mnaona ndio mtaaminika; mbona nyenzo ya kupambana na ufisadi ambayo ni katiba ya wananchi mmeikataa?Mkuu...JP ameongea kama nahodha wa MV Kiboko ya mafisadi...Lazima mtafute mashimo na maandaki ya kujificha
Asijali, umri unamruhusu. Akiwa mwenyekiti akijenge chama na kukisafisha then time ijayo anaweza kuukwaa!!! Who knows??
Mtoa mada umepotea inahitajika upelekwe milembe hujitambui. Magufuli ni jembe, katapila nk
Alafu ujue nini mkuu magufuli asiposhinda uchaguzi huu na akibaki kuwa mwenyekiti wa CCM ndo atakimalizia chama kabisa maana hajawai kushika uongozi wowote ule CCM yeye ni mwanachama wa kawaida tu NA NDIO MAANA JK PALE D.JUBILEE ALISEMA ATAENDELEA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA HADI 2017 ATA KAMA MAGUFULI AKITOKEA KASHINDA UCHAGUZI HUU...WEWE UNAFIKIRI KWANINI???
DuppyConqueror umepita huku umuone Magufuli anavyolia? Jana niliona huo mkutano walivyokuwa wanajifariji.
Unajichekesha kwenye serious thing.
swissme
Tatizo ni ukosefu wa pesa ndio unasababisha barabara hiyo isijengwe. Ila Feasibility study (ESIA), Preliminary & Final Design and Preparation of Cost Estimates ya barabara: Mikumi - Kidatu (35km) na Kidatu - Ifakara (70km) zimekamilika!