Chechetuka
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 549
- 44
wanajf mwenye ushaidi kuwa lowasa ni fisadi atujuze,kwani tnaweza hukumiwa bila sababu,tmechoka na tetesi jaman u thinkers,juzi nec ddma kaeleza wazi khsu richmond,ni upi ufisadi wake mwingine????
Mbona hukanushi ushahidi mdogo sana uliotolewa na Double Agent? AMA kweli tuna pumba nyingi humu