Jamani Mwl Nyerere alipokuwa akimpigia Mkapa campaign kuwa ni MR CLEAN si sote tulikubali na kumpa kura? Katoka akiwa MR DIRTY sio? ndio maana watu wanasema ni Fisadi.
Sasa acheni MR DIRTY ambaye sasa anajulikana kama fisadi wa Richmond maana mimi sijasikia tuhuma nyingine, pia Mwl Nyerere alimkataa aingie madarakani atatoka wote tukisema MR CLEAN. Mchawi mpe mtoto akulelee.
Sasa acheni MR DIRTY ambaye sasa anajulikana kama fisadi wa Richmond maana mimi sijasikia tuhuma nyingine, pia Mwl Nyerere alimkataa aingie madarakani atatoka wote tukisema MR CLEAN. Mchawi mpe mtoto akulelee.