Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
Nimeona mjadala wa “Kusoma magazeti”. Nimeelekeza TCRA kuruhusu UBUNIFU kwenye tasnia ya Habari. Staili ya usomaji we magazeti imeongeza MVUTO kwenye usomaji huo, ni jambo linapaswa KUTIWA MOYO badala ya kuzuiwa. Waandishi endeleeni na ubunifu kwenye kusoma magazeti.
Maelekezo mengine yeyote ambayo TCRA inatoa kwenye sekta ya habari yanapaswa kuwa WEZESHI na sio ZUIZI. Ni muhimu TCRA ijenge utamaduni wa kuzungumza kabla ya kuagiza.
Amendika Nape kwemye ukurasa wake wa X.
****
Mpaka matamko yanatoka na kukinzana hivi, ina maana huwa hawawasiliani kabla hawajatoa matamko? Wizara hazina mawasiliano mpaka wanakuja kutiana aibu hivi?
Au ni maigizo kuonesha wanafanyakazi na kweli wapo upande wa wananchi. Yaani wanatengeneza tatizo halafu wanakuja kulitatua. 🤔
Kwenu Wakuu.
Maelekezo mengine yeyote ambayo TCRA inatoa kwenye sekta ya habari yanapaswa kuwa WEZESHI na sio ZUIZI. Ni muhimu TCRA ijenge utamaduni wa kuzungumza kabla ya kuagiza.
Amendika Nape kwemye ukurasa wake wa X.
****
Mpaka matamko yanatoka na kukinzana hivi, ina maana huwa hawawasiliani kabla hawajatoa matamko? Wizara hazina mawasiliano mpaka wanakuja kutiana aibu hivi?
Au ni maigizo kuonesha wanafanyakazi na kweli wapo upande wa wananchi. Yaani wanatengeneza tatizo halafu wanakuja kulitatua. 🤔
Kwenu Wakuu.