Wewe ulisoma jiografia? kuna kaskazini mashariki (North East) na kaskazini magharibi (North west). Magari yote yayokwenda kaskazini hayawezi kupitia wami peke yake. :lol:Magari yote yanaoyokwenda mikoa ya kaskazini na mikoa mingine yamekawama wami baada ya gari moja kugonga mtoto na wanakijiji wamevamia barabara na kuiziba wakidemand kuwekewa matuta-
hadi sasa hali si shwari