Nani alikwambia kuwa high way haiwekwi matuta? Ni huko kwenye mapori ndipo kusikowekwa matuta lakini kama barabara inapita maeneo yenye makazi ya watu lazima kuweka matuta vinginevyo madereva wenu walevi hawa watamaliza watu....They are very right hawa wanakijiji:whoo:iyo barabara c ni highway, matuta ya nini? Mpaka mifugo kama ng'ombe, mbuzi, kondoo wanazurura pembezoni mwa hiyo barabara.
Mwana!Pole sana.Inabidi,serikali,iwawekee matuta.Vinginevyo hao madereva,watazidi kuwaua.
hapo kwenye nyekundu nisheria au...maana hapa kwetu tuna tuta kubwa kuliko yote Africa mashariki...lolMatuta highway hayatakiwi...Yenyewe pia ni hatari kwa magari..elimu na tahadhari kwa watumiaji wote,iwe madereva na waenda kwa miguu ambao hudhani dereva anawaona na atafunga brake
Mbona mikumi wameweka, inamaana swala wanaumuhimu sana kuliko binadamu eeh??Matuta highway hayatakiwi...Yenyewe pia ni hatari kwa magari..elimu na tahadhari kwa watumiaji wote,iwe madereva na waenda kwa miguu ambao hudhani dereva anawaona na atafunga brake
Mbona mikumi wameweka, inamaana swala wanaumuhimu sana kuliko binadamu eeh??
hapo kwenye nyekundu nisheria au...maana hapa kwetu tuna tuta kubwa kuliko yote Africa mashariki...lol
Barabara yenyewe haikustahili kupita katikati ya National Park
Hivi ndani ya mipaka ya Tanzania kuna barabara yenye "hadhi" ya kuitwa "highway"?
DAR-Chalinze?
DAR-Morogoro?
Dar-Tanga?
Dar-Moshi-Arusha?
DAR-Mbeya-Tunduma?
Dar-Songea?
Nikiangalia upana wa hizi barabara - zote zinaonekana kama "Feeder Roads"!
Hiyo ni NEWS! Hivi kule RSA (Kruger National Park) zinaingia Bajaj tu?
Kwa madereva wetu watanzania matuta yaliyoko pale wami yanasaidia sana....vinginevyo watu watakuwa wana pita wakiwa kwenye 120...Ni sheria lakini tunazioverlook kutokana na udhaifu wetu na mtazamo wa kizimamoto..ukiangalia kwa upande wa pili matuta hayo ndo chanzo cha ajali nyingi...mfano pale Wami immediately baada ya daraja kuna tuta,sasa lori la tani 40 likifika hapo shurti apangue gia aanze na low na mzigo ni mzito linafail linarudi kinumenyume...hayatakiwi
ELIMU kwa watumiaji
Nani alikwambia kuwa high way haiwekwi matuta? Ni huko kwenye mapori ndipo kusikowekwa matuta lakini kama barabara inapita maeneo yenye makazi ya watu lazima kuweka matuta vinginevyo madereva wenu walevi hawa watamaliza watu....They are very right hawa wanakijiji:whoo: