Mafuriko Dar, mvua kali ikiambatana na radi yanyesha, umeme wakatwa

Hii mvua itatufanya tufukuzwe kazi, jana nimeingia job saa 3, leo sio kama saa 6 sijui. Tandale, magomen sijui kukoje huko naona ya leo kiboko kuliko ya jana.
 
Wacha inyeshe isafishe jiji .Nimetoka kidogo kwenye hilo jiji ngoja nipumzike huku .
 
daraja limevunjika hapa mbezi kibanda cha mkaa,magari ya kwenda mkoani hayapiti wala watu kwenda mikoani
 
Hii mvua itatufanya tufukuzwe kazi, jana nimeingia job saa 3, leo sio kama saa 6 sijui. Tandale, magomen sijui kukoje huko naona ya leo kiboko kuliko ya jana.

Unafukuzwaje kazi kaka na mvua hzo zpo jiji zima?After all natoa kwa ndugu wa marehemu,mejuruhi pamoja na wahanga juu ya matatizo mbalimbali.
 
Ya kweli hayo? Nipo hapa maili moja namsindikiza abiria mpaka sasa hakuna gari iliyofika!

mkuu habari ndo hyo,mi nimetoka kwangu mbezi mwisho saa 11 asubuh mpaka saa hzi nipo petrol station mbezi mwisho,maji yanapita juu ya barabara,daraja halionekani tena
 
mkuu habari ndo hyo,mi nimetoka kwangu mbezi mwisho saa 11 asubuh mpaka saa hzi nipo petrol station mbezi mwisho,maji yanapita juu ya barabara,daraja halionekani tena

...Kama hali ni mbaya kiasi hicho ni bora tu urudi nyumbani ili kuepukana na ajali.
 
mkuu habari ndo hyo,mi nimetoka kwangu mbezi mwisho saa 11 asubuh mpaka saa hzi nipo petrol station mbezi mwisho,maji yanapita juu ya barabara,daraja halionekani tena

Mmmh!! Bora urudi tu nyumbani maana mvua hakuna ndio kwanza inachanganya!
 
Niko kwenye sumri kuelekea Singida ila tumekwama hapa mbez, kama hali ndo hii cjui kama leo tutaondoka hapa. Nadhani leo magar yote ya mikoan lazma yalale njian ama sivyo basi yataahirisha safar.
 
Mimi huyu ndugu yangu ningemshauri aahirishe safari kama angekuwa hajakata tiketi!
 
Niko kwenye sumri kuelekea Singida ila tumekwama hapa mbez, kama hali ndo hii cjui kama leo tutaondoka hapa. Nadhani leo magar yote ya mikoan lazma yalale njian ama sivyo basi yataahirisha safar.

Miaka 50 ya uhuru.
 
Kinachochekesha hata barabara ya karibu na Serengeti breweries iliyofungwa na kuwa uplifted ili mvua ikinyesha maji yasijae nayo IMEJAA maji.

Barabara ya Mandela hiyo hiyo eneo la Tazara ukitokea Buguruni iliyoisha matengenezo chini ya miezi tisa iliyopita ka VITZ labda kakae kulia lane ya mwisho ikikaa kushoto inatulia hapo hapo.

Hii nchi haki ya nani inatakiwa tuwe kama CHINA. Kama hamtaki endeleeni kulalamika, haiwezekani barabara haina hata miezi sita na panaeleweka palikua panajaa maji bado imetengenezwa na bado inajaa maji

Natamani natamani aghrq674%#^^**)*$#$^HRGHRAHRGHAR(*^#%@#
 
Halafu nyie wote mnaolalamika mna magari mazuri, mnaishi pazuri, walalahoi ndo kwanza wala hawajali
 
...Nakumbuka kuna mvua moja iliwahi kunyesha Dar (sikumbuki mwaka gani) ilikuwa mvua kubwa sana ambayo hadi hii leo sijawahi kushuhudia mvua kubwa kama ile ambayo iliambatana na radi za kutisha sana. Tulijikusanya na kuanza kusali kwa woga uliosababishwa na mvua ile.
Nakumbuka hii mvua, ilikuwa kipindi cha mwaka mpya kama sikosei 1992 kuingia 1993, ilikuwa balaaa!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom