Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kidumu chama cha mapinduzi,kidumu,hayo ndo matokeo na bado!
Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele.
Kidumu chama cha mapinduzi,kidumu,hayo ndo matokeo na bado!
Niko maili moja kituo cha mabasi kuna ndugu yangu namsindikiza anaenda mkoa.
ikinyesha kama ile ya ile ya nchi moja kule asia,sijui tutakimbilia moro kwa helikoptaTumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele.
hali ni mbaya sana ..mh
ikinyesha kama ile ya ile ya nchi moja kule asia,sijui tutakimbilia moro kwa helikopta
Vp bus gani limepita hapo? Hood au najmunisa?
Hakuna basi lolote lililopita zaidi ya coaster za mlandizi zinazobadili route na kuanza kwenda Morogoro na Dodoma!
Mi napenda lkulu ijae maji pale ili jamaa ashtuke hivi mm nipo juu ya dali hapa chini hakufai.
Naona sasa hivi inaongeza speed kunyesha.
...Mvua kubwa imenyesha.kwanini maeneo hayo yote yamejaa maji hivyo?
Ha ha ha haaah!! Upo juu ya dali? Wapi huko..
Mi napenda lkulu ijae maji pale ili jamaa ashtuke hivi mm nipo juu ya dali hapa chini hakufai.
...Mvua hizi, za kipindi hiki, huwa hazipunguzi joto. Ndio kwanza zinaliongeza. Halafu, nguo zinavunda, hali ambayo ni mbaya kuliko kikwapa.Lakini afadhali mvua imenyesha ipunguze joto...labda vikwapa navyo vitatulia.
............Ni kazi ya mungu, haiepukiki!!
Mie nilikuwa nawaza hivyo hivyo Mkuu!!! labda ndio atapata akili ya kushughulikia hili tatizo ambalo ni kubwa sana.
Kuliko mimi sio wingu nitakaesababisha mvua inyeshe!? by JKJibu la kizembe la mwaka.
Vinginevyo ataendelea kuziba pamba masikioni tu na kuona swala la kawaida tu. Yaani inatakiwa wakazi wa upanga na vitongoji vyake waachie vinyesi vitapakae viunga vya ikulu na magogoni pale la sivyo tutaendelea kuteseka.