Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Kikwete kama chura hupenda sana hali hii.
CPA unareport kana kwamba umeyaona mafuriko.
Ni kweli inakamua lakini bagamoyo rozd kupo shwari mpaka muda huu.
Watu huchelewa mvua ikinyesha ili kukamilisha majukumu ya chumbani....
Old Bagamoyo road pale maeneo ya TMJ Hospital kama kawaida yake ni balaa tupu
mvua hii balaa. Hapa reli mwananchi pamegeuka bwawa. Attachment haziappload la sivyo ningewarushia mapicha
kwanini maeneo hayo yote yamejaa maji hivyo?
............Ni kazi ya mungu, haiepukiki!!kwanini maeneo hayo yote yamejaa maji hivyo?
,........Hili nalo neno, binafsi mimi si muhanga wa hizi mvuwa za leo kwani wakati wa kujenga nyumba nilikuwa najuwa nyumba inastahili ijengwe kwenye mazingira gani.Lakini afadhali mvua imenyesha ipunguze joto...labda vikwapa navyo vitatulia.
,........Hili nalo neno, binafsi mimi si muhanga wa hizi mvuwa za leo kwani wakati wa kujenga nyumba nilikuwa najuwa nyumba inastahili ijengwe kwenye mazingira gani.
...nadhani magomeni ni moja kati ya maeneo yalioathirika sana na hii mvua. Nimepita katika bonde la kinondoni mkwajuni kuelekea magomeni (moroco hotel) nimekuta polisi kutoka kituo chamagomeni wakijaribu kuwaokoa wahanga wa hii mvua. Inasemekana kun nyumba kadhaa zimefunikwa na maji na idadi kubwa ya watu hasa watoto wamepotea au hawajulikano walipo na wale wengine wanajitahidi kujiokoa kwa kutumia mabeseni ya plastiki.....Wakati mwingine hawa watanzania wenzetu wapunguze ubishi wewe unaambiwa usijenge makazi bondeni unang'ang'ani tu....leo itakula kwenu aisee.:yawn:Hii mvua ni balaa! Nawaonea huruma waliopo mabondeni.
Nipo Dar, hakuna mvua yoyote iliyonyesha hivi karibuni. Hakuna mafuriko, jua linawaka na kuna vumbi jingi tu hasa maeneo ya Tabata Relini na Kigogo. Wewe umesikia kwa nani?Nasikia mvua kubwa imenyesha Dsm na imesababisha mafuriko maeneo mengi ya Dsm .aliy karibu atajuze yanayo jiri
Nipo Dar, hakuna mvua yoyote iliyonyesha hivi karibuni. Hakuna mafuriko, jua linawaka na kuna vumbi jingi tu hasa maeneo ya Tabata Relini na Kigogo. Wewe umesikia kwa nani?