cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,805
- 73,561
Magufuli 2020 tena 💯
Niko.Hapa kuisubiri tuu 28/10/2020 maana sio kwa kura za ndio zitakazo jionesha kwa Magufuli.#MagufuliNiMafanikio #AchaKaziIendelee View attachment 1580033
Rasi Magufuli ndio anaye faa kuliongoza Taifa la Tanzania. Kwa Sababu anafanya kazi kwa vitendo sio Viongozi wengine waliopita walikuwa wakisema majukwaani lakini hafanyi kwa vitendo. kura yangu nitampa Rais Magufuli Oyeee.
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
============
emie emie posted: Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea. Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa
Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa
Flyovers zinajengwa
Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika, hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio. Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
Hakika namsifu Rais wetu.
Pia soma;
- Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania
Niko.Hapa kuisubiri tuu 28/10/2020 maana sio kwa kura za ndio zitakazo jionesha kwa Magufuli.
Unanifahamu?Wewe umebambikiziwa kesi ya nini ? Tuanze na wewe .
Haki gani uliyoikosa? Huko ndio kukosa uzalendo kutia kasoro Serikali bila sababu
Unanifahamu?
Message sentSina haja hiyo
Message sent
Message received!
Kwa haya aliyo yafanya hakuna budi akipata mitano tena aendeleze alipoishia ingawa demokrasia ndio itakayo amua
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
============
emie emie posted: Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea. Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa
Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa
Flyovers zinajengwa
Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika, hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio. Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
Hakika namsifu Rais wetu.
Pia soma;
- Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania
Message sent
Message received!
July 1, 2020 is the date that will go down as remarkable day in Tanzania history as the first and starting date for implementation of the fifth and final Government Budget to end the first five years of the fifth regime but more important a day the World Bank recognized Tanzania as a middle-income country, five years before reaching 2025.
In discussing these achievements I would like to remind seven( 7) key success stories which will go down as remarkable international records to interpret these achievements;
#First, I keep in mind that all who were asking and challenging on what kind of nation President Magufuli is building , July 1, 2020, the World Bank have responded! That Magufuli was building a middle income nation.
# Second, Is the record released by the International Monetary Fund(IMF) through the former Director of the Organization, Ms. Christine Legarde when interviewed by Quartz Magazine, in 2017 in Ethiopia.
When asked which African countries are heading to Vietnam industrial revolution, She cited Tanzania, Ethiopia, Nigeria and Kenya. Again this was the answer to those who were questioning whether President Magufuli Government is really building an industrial economy.
# Third record is the one released at the World Economic Forum 2018, where Tanzania was ranked the leading African nation for an inclusive economy in Africa South of Sahara. This record cementing the fact that Magufuli government is indeed a pro-poor government.
# Fourth record is where the Government of Tanzania was ranked 28th out of 186 nations surveyed in the world for effective management of public finances. , this record defeated so many countries in the world. Our competitors in EAC & SADC Blocks were ranked as follow; Kenya (70), Uganda (100), Malawi (106), Mozambique (118), Ghana (61), Botswana (37). This record proves that even the world recognizes President Magufuli is building a disciplined spending government with a great record not only in Africa but in the world. This is according to a report by the World Economic Forum, Executive Opinipn Survey 2019).
# Fifth record, Tanzania was named as the leading nation out of 37 African countries surveyed in the fight against corruption. This is according to The Africa global opinion survey 2019.
We suppose to appreciate that we have come a long way, the era of renting a plane for 43 million dollars but working 6 months and finish the rest 37 months of contract in garage (refer to CAG report April 2020).
Today the government purchases new aircraft bombardier for $ 32 million! This is just a small example to show that as a Nation there are decades we lost!
# The sixth record comes from African Global opinion survey report of 2019 which shows citizen trust to their government has increased tremendously. It revealed that 72%had trust to their government in fighting corruption compare to 13% in 2015 .This is one of the recordings of a major revolution in the world.
# The Seventh Record comes from the number one global Credit Rating Agency, the MOODYS.
According to MOODYS Credit Rating Agency, which own 45% of global market share, rated Tanzania higher than any East Africa country with B1 leaving the rest with B2 ranking in 2017 report. This assessment is the first of its kind in Tanzania since independence.
These are global records and will remain so as President Magufuli international identity let alone the great diplomacy he used to confront COVID19 and leave the rest of the world wondering how it was possible for a corona pandemic that shaken the whole world but failed in Tanzania.
What I am emphasizing here is that while Magufuli achieves such a great international record, it should be noted that he come into power in 2015 when the government was unable desperate and unable even to manage wagebill!.
He received a Government that had to borrow to finance wage bill (desperate government)! but within 5 years he achieved a great record in every sector related to human development !.
He has succeeded in building an economically strong Government in all economic interpretations in the world.
Those of us who were familiar with these records are not surprised to hear Tanzania being declared qualified to enter the middle income economy 5 years before the target year which is 2025.
Hakika ni mengi ameyafanya bado watu hatutaki kuamini.
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
============
emie emie posted: Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea. Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa
Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa
Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa
Flyovers zinajengwa
Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe
Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.
Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.
Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.
Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.
Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika, hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio. Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.
Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.
Hakika namsifu Rais wetu.
Pia soma;
- Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania
Hana mpinzani huyu Baba, kwa mapenzi ya dhati aliyonayo kwa Taifa letu na kwa sisi wananchi kiukweli anastahili miaka mitano tena.Hakika ni mengi ameyafanya bado watu hatutaki kuamini.
Mi nauliza mbona wanaopinga ndio haohao wanaotumia vitu hivyo ???
Swala ni kwamba kumbe wanatukubalineeeh hahahha wataendelea kuisoma namba mpaka wakome mwaka huu.
Kama kuna mtu anaona hajafanya chochote basi wahame nchini waende nchi jirani huko mbona wanaruhusiwa tu jamani.