<br />Naibu meya wa Arusha Comrade Mallah, na Diwani Bayo, hawa ndio wanamapinduzi wa Arusha wapenda amani.<br />
Nimejitolea nitawatafutia mawakili watatu hata kutoka nje ya nchi mpaka wapate haki yao za kikatiba, ingawa najua kabisa hiyo kesi inaweza kuchuwa miaka minne mpaka mitano
waliokuwa madiwani kupitia chadema wilaya Arusha mjini na chadema watatinga mahakamani ni kwenye sakata la wasaliti hao kutaka kurudishiwa uanachama wao na kuendelea udiwani wao, madiwani hao ni malla, Bayo, mpanda, rehema...tutaendelea kuwajuza..
hakuna raha yoyote wewe una kula na kusaza laini jilani yako hana uhakika wa mlo hata mmoja, hakuna usawa hospitalini, hakuna haki mahakamani..watoto na akina aawnkua hoptalini akina nymbo wana ma trilion nje..eti tufanye kaziZumbukuku, usichague kazi wakati elimu huna? Au Mwambie a loser Dr Slaa akutafutie hata kazi ya utingo kwenye zile Fuso za CDM, fanyeni kazi vijana msikae kwenye vijiwe vya mbege mnashinda mnakunywa viroba Bongo bond Whisky. Mnasubiri kupora raia simu zao
Mkuu acha kujibizana na watu wa aina hiyo,wewe endelea kutujuza kinachoendelea huko Arusha.hakuna raha yoyote wewe una kula na kusaza laini jilani yako hana uhakika wa mlo hata mmoja, hakuna usawa hospitalini, hakuna haki mahakamani..watoto na akina aawnkua hoptalini akina nymbo wana ma trilion nje..eti tufanye kazi
asante mkuu...bahati nzuri hakuna raha kama kutetea ukweli...hao wanao ni kebei kwenye kampeni walijidai wachunguzi na watabiri tuliletewa info mpaka wagombea wapokuwa darasa la pili leo crashwise kuripoti kinachoendelea mahakamani imekuwa nongwa..nitaripti kadri ya uezowg wote na j3 nitaripoti juu ya kesi ya lema na ijumaa kesi ya CDM na malaThanks Crashwise kwa kutuhabarisha najua wengi wanakukebehi lakini ukweli utabaki kuwa wewe ni mwanaharakati wa kweli endeleeni kutujuza.
Mungu yupi?Mungu yupo upande wa ukombozi!
hivi kumbe yule mungu wako hana msaada?Mungu yupi?
Mimi Pagan Mungu wangu ananisaidia kila ninapo muomba sijui mwenzangu Mungu wako ni yupi?hivi kumbe yule mungu wako hana msaada?
Nimeangalia hizo picha apo mahakamani wengi ni wahuni wa maeneo ya Sakina na Standi ya vifodi ni wahuni tu ndio wanaompiga Naibu Meya wa Arusha, Comrade Mallah mpenda Amani