Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
- Thread starter
- #21
kumbe huwaamini wanasheria wa tanzania..Naibu meya wa Arusha Comrade Mallah, na Diwani Bayo, hawa ndio wanamapinduzi wa Arusha wapenda amani.<br />
Nimejitolea nitawatafutia mawakili watatu hata kutoka nje ya nchi mpaka wapate haki yao za kikatiba, ingawa najua kabisa hiyo kesi inaweza kuchuwa miaka minne mpaka mitano