Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Mwandishi Daniel Mjema,amekuwa mara zote akiandika habari za upotoshwaji juu ya CHADEMA hasa Moshi,huu ni unafiki wa kiwango cha juu
Mwandishi Daniel Mjema,amekuwa mara zote akiandika habari za upotoshwaji juu ya CHADEMA hasa Moshi,huu ni unafiki wa kiwango cha juu
Mwandishi Daniel Mjema,amekuwa mara zote akiandika habari za upotoshwaji juu ya CHADEMA hasa Moshi,huu ni unafiki wa kiwango cha juu
Hii nayo umeona ni story???Una lako jambo gamba mkubwa wewe....ptyuuuuuuuu!!!Tupa kuleee.
Mwananchi lina tofauti gani na udaku wa shigongo?Mbona halijaandika masuala ya mlungula wa magamba?walibalance kwa kuwauliza wale madiwani kama kweli walipigana?maana walengwa wamekanusha hawajawahi kufanya kitu kama hicho....Acheni zenu mnashabikia upuuzi wa makanjanja na njaa zao kali wakiishi kwa vibahasha vya magamba ili wawachafue makamanda wetu...tumewashtukia.ingekuwa sio stori mwananchi wasingeandika.
Washabiki wengi wa cdm ni wanamtazamo finyu sana,
hawapendi kuambiwa ukweli na wanaiona cdm au wana cdm kama malaika wasiokosea.
wenzeni ccm wanatekeleza ahadi kwa speed mbaya ...jana wamezindua ujenzi wa daraja la mto kilombero ..kazi mnayo
INTAFANYA VS NIMEFANYA... NINACHO HIKI HAPA VS NTAKIPATA NIKIINGIA...
He he heeeeee kumekucha , waache wafu wawazike wafu wenzao. Hapo bado hawajapewa nchi, siku wakipewa nchi watagombea mpaka hazina ya nchi na kugombea rasilimali za nchi. Tuliisha sema cdm iko kwa maslahi binafsi na si ya nchi, kalagabaho !
Mkuu ni kweli kabisa huyu mwandishi ni kanjanja na njaa zinamsumbua na ukuu wa wilayaMwandishi Daniel Mjema,amekuwa mara zote akiandika habari za upotoshwaji juu ya CHADEMA hasa Moshi,huu ni unafiki wa kiwango cha juu
Mwananchi lina tofauti gani na udaku wa shigongo?Mbona halijaandika masuala ya mlungula wa magamba?walibalance kwa kuwauliza wale madiwani kama kweli walipigana?maana walengwa wamekanusha hawajawahi kufanya kitu kama hicho....Acheni zenu mnashabikia upuuzi wa makanjanja na njaa zao kali wakiishi kwa vibahasha vya magamba ili wawachafue makamanda wetu...tumewashtukia.
MADIWANI wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro juzi walitwangana makonde huku kiini kikitajwa kuwa ni gari la Mstahiki Meya. kisa cha kupigana ni ubishi juu ya nani anastahili kupanda gari hilo la Meya ( mwananchi ..25/10/2012.
MATOKEO YA M4C HAYO WANAGOMBANI KUPANDA GARI YA MEYA ...JE MKICHUKUA NCHI SI MTAGOMBANIA WOTE MKAKAE IKULU
waache waendelee na porojo, huu ni mwaka wa 2 wa jk na ahadi kibao kashaanza kuzitekeleza, sipati picha akifika 2015 atakuwa kafanya mangapi.
Cdm wanapiga porojo tu, hata majimbo yao yamewashinda.
Zunguka ubungo, kawe au hai ukajionee usanii wa wabunge wao.
mwananchi lina tofauti gani na udaku wa shigongo?mbona halijaandika masuala ya mlungula wa magamba?walibalance kwa kuwauliza wale madiwani kama kweli walipigana?maana walengwa wamekanusha hawajawahi kufanya kitu kama hicho....acheni zenu mnashabikia upuuzi wa makanjanja na njaa zao kali wakiishi kwa vibahasha vya magamba ili wawachafue makamanda wetu...tumewashtukia.
MADIWANI wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro juzi walitwangana makonde huku kiini kikitajwa kuwa ni gari la Mstahiki Meya. kisa cha kupigana ni ubishi juu ya nani anastahili kupanda gari hilo la Meya ( mwananchi ..25/10/2012.
MATOKEO YA M4C HAYO WANAGOMBANI KUPANDA GARI YA MEYA ...JE MKICHUKUA NCHI SI MTAGOMBANIA WOTE MKAKAE IKULU
MADIWANI wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro juzi walitwangana makonde huku kiini kikitajwa kuwa ni gari la Mstahiki Meya. kisa cha kupigana ni ubishi juu ya nani anastahili kupanda gari hilo la Meya ( mwananchi ..25/10/2012.
MATOKEO YA M4C HAYO WANAGOMBANI KUPANDA GARI YA MEYA ...JE MKICHUKUA NCHI SI MTAGOMBANIA WOTE MKAKAE IKULU
kaza buti jk tekeleza ahadi zako mungu ni mwema watakuja umbuka 2015 mana ccm watakuwa na kitu mkononi hao cdm watakuwa tu na ntafanya ... Wapi na wapi ntafanya vs nimefanya...
Tatizo cdm hawataki ambiwa ukweli ndo hapo hicho chama kinakwenda kufa.. Wamepewa ridha ya kuongoza jiji la mwanza limewashinda sasa moshi ndo hiyo inaelekea sasa mana kiongozi kweli unagombania kupanda gari ya meye ...