DOKEZO Ufisadi Moshi: Wajenga na kugawa maeneo ya wazi Manispaa ya Moshi. Meya, Madiwani wahusishwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,411
Manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro imeingia kwenye Kashfa kubwa hasa baada ya mwaka 2015 pale Uongozi ulipobadilika.

Kabla ya mwaka 2015 , mkoa ulikuwa unajengeka, msafi na una maendeleo, alipoingia JUMA RAIBU[Meya aliyeondoshwa] alianza kutoa vibali vya ujenzi katikati ya mji kujenga nyumba ndogo , za chini na ukarabati wa hovyo.

Lakini hakuishia hapo, alianza kugawa maeneno ya wazi Makada kujenga vituo vya mafuta na sehemu za starehe.

JUMA RAIBU[CCM][Mwenye kashfa iliyomwondoa madarakani baada ya kushiriki hayo mambo] anayokataa museveni, alitoa vibali kuhamisha soko la samaki la mbuyuni na kulipeleka mailisiti-shiri njoro.

Mwaka 2020 Meya aliyechukua nafasi ya Juma ndio ikawa mbaya zaidi, amegawa open space pekee iliyokuwa majengo maenneo ya DEEP SEE pale Mfahamiko kwa mtu aliyefungua BAA INAITWA DEO CAMP, HII BAA imechukua eneo la wazi la watu kupumzika na kufanya mazoezi na limezunguka makazi ya watu, watoto wa nyumba zote jirani hasa wa kike wanaharibikiwa kutokana na hiyo DEO CAmp.

Ameuza njia panda kwenda Railway, mfanyabiashara mmoja ambaye pia ni kaa wa chama na mmiliki wa Mabasi ya Kwenda Dar -Arusha , ambaye ni mmiliki wa mabucha ya nyama na mmiliki wa ghorofa la biashara Posta-Moshi lenye maduka na linaloangaliana na Posta, huyu bwana amechukua maeneo mengi ya wazi:

MEYA WA SASA: ameingia kwenye kashfa nyingine ya ku-jenga ukuta kwa mamilioni, kuzunguka Manispaa ya Moshi, gharama iliyotumika ni kubwa mara tatu ya gharama halisi,; hakuna upinzani hivyo chama kinaamua la kufanya bila kuonywa.

Naomba Waziri ANGELA KAIRUKI, toa onyo , fanya ziara ya kushtukiza, Njoo Moshi okoa fedha za Serikali, kuna ufisadi uliopitiliza, MAMA SAMIA akijua hili ATATOA MACHOZI.

Manaibu Waziri Deogratius J. Ndejembi na Mhe.. Dkt. Festo John Dugange msaidieni SAMIA SULUHU kupangua safu hapo Manisapaa ya Moshi, kiukweli kuna ufisadi ambao mkisema mnafunga safari kuelekea Moshi watu watatoroka ofisi kabla Hamjafika:

TISS, PCCB, POLISI na undercover wengine naombeni mchunguze huyu Mhe. Zuberi A. Kidumo ambaye ndio meya wa Manispaa:

Madiwani wa Moshi ni hawa>

  • Mhe. Zuberi A. Kidumo (Mstahiki Meya) - Diwani Kata ya Njoro
  • Mhe. Stuart N. Nkinda (Naibu Meya) - Diwani Kata ya Mfumuni
  • Mhe. Abuu Shayo - Diwani Kata ya Mjimpya
  • Mhe. Apaikunda Naburi - Diwani Kata ya Mawenzi
  • Mhe. Bashiri A. Tassama - Diwani Kata ya Kiusa
  • Mhe. Benedictory Mwashambwa - Diwani Kata ya Longuo ‘B’
  • Mhe. Charles J Lyimo - Diwani Kata ya Msaranga
  • Mhe. Deogratius J. Mallya - Diwani Kata ya Karanga
  • Mhe. Ernest S. Mlembezi - Diwani Kata ya Kilimanjaro
  • Mhe. Francis Shio - Diwani Kata ya Shirimatunda
  • Mhe. Frank H. Kagoma - Diwani Kata ya Kiborloni
  • Mhe. Gadiel E. Mrema - Diwani Kata ya Ng’ambo
  • Mhe. Heavenlight Kiondo - Diwani Kata ya Korongoni
  • Mhe. Hamphrey Mosha - Diwani Kata ya Majengo
  • Mhe. Masiu Kilusu - Diwani Kata ya Bondeni
  • Mhe. Mohamed A. Mushi - Diwani Kata ya Miembeni
  • Mhe. Nassib M. Abdallah - Diwani Kata ya Kaloleni
  • Mhe. Pastori W. Minja - Diwani Kata ya Pasua
  • Mhe. Charles T. Mmbando - Diwani Kata ya Soweto
  • Mhe. William G. Kiwia - Diwani Kata ya Rau
  • Mhe. Juma R. Juma - Diwani Kata ya Bomambuzi
Raisi tafadhali mulika moshi na sasa wameanza kujipanga kwa uchaguzi wa mwakani na ule wa 2025, rusha imetamalaki.
 
unachuki na meya si bure..kuna mahali sijakuele "ku-jenga ukuta kwa mamilioni, kuzunguka Manispaa ya Moshi, gharama iliyotumika ni kubwa mara tatu ya gharama halisi,;"

manispa ya moshi inazungushwa ukuta?.haya ndio majabu ya firahuni sasa
 
Ulipotaja Ummy na Maza nikaacha hata kusoma nikajua ni upuuzi eti watalia kwamba ufisadi wa CAG ni mdogo kuliko wa Moshi?
Hao ndio wameshika mpini, Bora hatua moja kuliko nusu hatua, amini Moshi mpaka ifike 2024 itakuwa kama MATHARE huko Nairobi, yaani ufisadi bora wa hela lakini si wa kuuza open space na maeneo ya shule, hebu tusaidiane.
 
unachuki na meya si bure..kuna mahali sijakuele "ku-jenga ukuta kwa mamilioni, kuzunguka Manispaa ya Moshi, gharama iliyotumika ni kubwa mara tatu ya gharama halisi,;"

manispa ya moshi inazungushwa ukuta?.haya ndio majabu ya firahuni sasa
Ndio imezungushiwa, na ukuta umefika Robo na kusimamishwa baada ya fedha karibu zote kuliwa:
Unajengwa ukumbi mpya wa Manispaa hapa Garden nao ufisadi wake hausemeki, Yaani kiongozi anajenga manispaa huku anamalizia nyumba yake Shirimatunda.
 
Hao ndio wameshika mpini, Bora hatua moja kuliko nusu hatua, amini Moshi mpaka ifike 2024 itakuwa kama MATHARE huko Nairobi, yaani ufisadi bora wa hela lakini si wa kuuza open space na maeneo ya shule, hebu tusaidiane.
Mwenyewe ni mwenyeji wa Moshi na sikatai kuwa hakuna ufisadi, lakini kuwataja Ummy na Maza kwamba watashangazwa na ufisadi wa Moshi hiyo ni big no kuna ufisadi mkubwa kupita kiasi
 
We sema damu haijakurukia ama umetumwa na mtu aliyekosa hizo open space, kaa kwa kutulia bahati mbaya kutesa kwa zamu hata huyo unayemuita aje moshi na yeye anasubiri muda ufike aende chakechake kujificha 😂😂😂

Subiri zamu yako mkuu damu itakurukia, utajenga na wewe kule njoro
 
Manispaa y Moshi, Mkoani Kilimanjaro imeingia kwenye Kashfa kubwa hasa baada ya mwaka 2015 pale Uongozi ulipobadilika.

Kabla ya mwaka 2015 , mkoa ulikuwa unajengeka, msafi na una maendeleo, alipoingia JUMA RAIBU[Meya aliyeondoshwa] alianza kutoa vibali vya ujenzi katikati ya mji kujenga nyumba ndogo , za chini na ukarabati wa hovyo.

Lakini hakuishia hapo, alianza kugawa maeneno ya wazi Makada kujenga vituo vya mafuta na sehemu za starehe.

JUMA RAIBU[CCM][Mwenye kashfa iliyomwondoa madarakani baada ya kushiriki hayo mambo] anayokataa museveni, alitoa vibali kuhamisha soko la samaki la mbuyuni na kulipeleka mailisiti-shiri njoro.

Mwaka 2020 Meya aliyechukua nafasi ya Juma ndio ikawa mbaya zaidi, amegawa open space pekee iliyokuwa majengo maenneo ya DEEP SEE pale Mfahamiko kwa mtu aliyefungua BAA INAITWA DEO CAMP, HII BAA imechukua eneo la wazi la watu kupumzika na kufanya mazoezi na limezunguka makazi ya watu, watoto wa nyumba zote jirani hasa wa kike wanaharibikiwa kutokana na hiyo DEO CAmp.

Ameuza njia panda kwenda Railway, mfanyabiashara mmoja ambaye pia ni kaa wa chama na mmiliki wa Mabasi ya Kwenda Dar -Arusha , ambaye ni mmiliki wa mabucha ya nyama na mmiliki wa ghorofa la biashara Posta-Moshi lenye maduka na linaloangaliana na Posta, huyu bwana amechukua maeneo mengi ya wazi:

MEYA WA SASA: ameingia kwenye kashfa nyingine ya ku-jenga ukuta kwa mamilioni, kuzunguka Manispaa ya Moshi, gharama iliyotumika ni kubwa mara tatu ya gharama halisi,; hakuna upinzani hivyo chama kinaamua la kufanya bila kuonywa.

Naomba Waziri UMMY MWALIMU toa onyo , fanya ziara ya kushtukiza, Njoo Moshi okoa fedha za Serikali, kuna ufisadi uliopitiliza, MAMA SAMIA akijua hili ATATOA MACHOZI.

Manaibu Waziri Deogratius J. Ndejembi na Mhe.. Dkt. Festo John Dugange msaidieni SAMIA SULUHU kupangua safu hapo Manisapaa ya Moshi, kiukweli kuna ufisadi ambao mkisema mnafunga safari kuelekea Moshi watu watatoroka ofisi kabla Hamjafika:

TISS, PCCB, POLISI na undercover wengine naombeni mchunguze huyu Mhe. Zuberi A. Kidumo ambaye ndio meya wa Manispaa:

Madiwani wa Moshi ni hawa>

  • Mhe. Zuberi A. Kidumo (Mstahiki Meya) - Diwani Kata ya Njoro
  • Mhe. Stuart N. Nkinda (Naibu Meya) - Diwani Kata ya Mfumuni
  • Mhe. Abuu Shayo - Diwani Kata ya Mjimpya
  • Mhe. Apaikunda Naburi - Diwani Kata ya Mawenzi
  • Mhe. Bashiri A. Tassama - Diwani Kata ya Kiusa
  • Mhe. Benedictory Mwashambwa - Diwani Kata ya Longuo ‘B’
  • Mhe. Charles J Lyimo - Diwani Kata ya Msaranga
  • Mhe. Deogratius J. Mallya - Diwani Kata ya Karanga
  • Mhe. Ernest S. Mlembezi - Diwani Kata ya Kilimanjaro
  • Mhe. Francis Shio - Diwani Kata ya Shirimatunda
  • Mhe. Frank H. Kagoma - Diwani Kata ya Kiborloni
  • Mhe. Gadiel E. Mrema - Diwani Kata ya Ng’ambo
  • Mhe. Heavenlight Kiondo - Diwani Kata ya Korongoni
  • Mhe. Hamphrey Mosha - Diwani Kata ya Majengo
  • Mhe. Masiu Kilusu - Diwani Kata ya Bondeni
  • Mhe. Mohamed A. Mushi - Diwani Kata ya Miembeni
  • Mhe. Nassib M. Abdallah - Diwani Kata ya Kaloleni
  • Mhe. Pastori W. Minja - Diwani Kata ya Pasua
  • Mhe. Charles T. Mmbando - Diwani Kata ya Soweto
  • Mhe. William G. Kiwia - Diwani Kata ya Rau
  • Mhe. Juma R. Juma - Diwani Kata ya Bomambuzi.
Itakua madiwani wa CDM hao, machadema ni majizi sana!!
 
Ummy Mwalimu sio Waziri wa Tamisemi,Waziri wa Tamisemi ni Angela Kairuki.
Lakini najua sio kosa lako ila umevurugwa na huo ufisadi.
 
ℍ𝕒𝕠 𝕦𝕝𝕚𝕠𝕨𝕒𝕥𝕒𝕛𝕒 𝕙𝕒𝕡𝕠 𝕤𝕚𝕠 𝕙𝕒𝕨𝕒𝕛𝕦𝕚 𝕚𝕝𝕒 '𝕞𝕠𝕣𝕒𝕝 𝕒𝕦𝕥𝕙𝕠𝕣𝕚𝕥𝕪' 𝕚𝕟𝕒𝕨𝕒𝕗𝕦𝕟𝕘𝕒 𝕡𝕚𝕟𝕘𝕦.
 
unachuki na meya si bure..kuna mahali sijakuele "ku-jenga ukuta kwa mamilioni, kuzunguka Manispaa ya Moshi, gharama iliyotumika ni kubwa mara tatu ya gharama halisi,;"

manispa ya moshi inazungushwa ukuta?.haya ndio majabu ya firahuni sasa
Unaozunguka manispaa..jengo la manispaa.
 
Ndio imezungushiwa, na ukuta umefika Robo na kusimamishwa baada ya fedha karibu zote kuliwa:
Unajengwa ukumbi mpya wa Manispaa hapa Garden nao ufisadi wake hausemeki, Yaani kiongozi anajenga manispaa huku anamalizia nyumba yake Shirimatunda.
Kwahiyo Mtu akiwa anajenga jengo la serikali hastahili kwa wakati huo huo awe anajenga au kumalizia jengo lake binafsi?
 
Manispaa y Moshi, Mkoani Kilimanjaro imeingia kwenye Kashfa kubwa hasa baada ya mwaka 2015 pale Uongozi ulipobadilika.

Kabla ya mwaka 2015 , mkoa ulikuwa unajengeka, msafi na una maendeleo, alipoingia JUMA RAIBU[Meya aliyeondoshwa] alianza kutoa vibali vya ujenzi katikati ya mji kujenga nyumba ndogo , za chini na ukarabati wa hovyo.

Lakini hakuishia hapo, alianza kugawa maeneno ya wazi Makada kujenga vituo vya mafuta na sehemu za starehe.

JUMA RAIBU[CCM][Mwenye kashfa iliyomwondoa madarakani baada ya kushiriki hayo mambo] anayokataa museveni, alitoa vibali kuhamisha soko la samaki la mbuyuni na kulipeleka mailisiti-shiri njoro.

Mwaka 2020 Meya aliyechukua nafasi ya Juma ndio ikawa mbaya zaidi, amegawa open space pekee iliyokuwa majengo maenneo ya DEEP SEE pale Mfahamiko kwa mtu aliyefungua BAA INAITWA DEO CAMP, HII BAA imechukua eneo la wazi la watu kupumzika na kufanya mazoezi na limezunguka makazi ya watu, watoto wa nyumba zote jirani hasa wa kike wanaharibikiwa kutokana na hiyo DEO CAmp.

Ameuza njia panda kwenda Railway, mfanyabiashara mmoja ambaye pia ni kaa wa chama na mmiliki wa Mabasi ya Kwenda Dar -Arusha , ambaye ni mmiliki wa mabucha ya nyama na mmiliki wa ghorofa la biashara Posta-Moshi lenye maduka na linaloangaliana na Posta, huyu bwana amechukua maeneo mengi ya wazi:

MEYA WA SASA: ameingia kwenye kashfa nyingine ya ku-jenga ukuta kwa mamilioni, kuzunguka Manispaa ya Moshi, gharama iliyotumika ni kubwa mara tatu ya gharama halisi,; hakuna upinzani hivyo chama kinaamua la kufanya bila kuonywa.

Naomba Waziri ANGELA KAIRUKI, toa onyo , fanya ziara ya kushtukiza, Njoo Moshi okoa fedha za Serikali, kuna ufisadi uliopitiliza, MAMA SAMIA akijua hili ATATOA MACHOZI.

Manaibu Waziri Deogratius J. Ndejembi na Mhe.. Dkt. Festo John Dugange msaidieni SAMIA SULUHU kupangua safu hapo Manisapaa ya Moshi, kiukweli kuna ufisadi ambao mkisema mnafunga safari kuelekea Moshi watu watatoroka ofisi kabla Hamjafika:

TISS, PCCB, POLISI na undercover wengine naombeni mchunguze huyu Mhe. Zuberi A. Kidumo ambaye ndio meya wa Manispaa:

Madiwani wa Moshi ni hawa>

  • Mhe. Zuberi A. Kidumo (Mstahiki Meya) - Diwani Kata ya Njoro
  • Mhe. Stuart N. Nkinda (Naibu Meya) - Diwani Kata ya Mfumuni
  • Mhe. Abuu Shayo - Diwani Kata ya Mjimpya
  • Mhe. Apaikunda Naburi - Diwani Kata ya Mawenzi
  • Mhe. Bashiri A. Tassama - Diwani Kata ya Kiusa
  • Mhe. Benedictory Mwashambwa - Diwani Kata ya Longuo ‘B’
  • Mhe. Charles J Lyimo - Diwani Kata ya Msaranga
  • Mhe. Deogratius J. Mallya - Diwani Kata ya Karanga
  • Mhe. Ernest S. Mlembezi - Diwani Kata ya Kilimanjaro
  • Mhe. Francis Shio - Diwani Kata ya Shirimatunda
  • Mhe. Frank H. Kagoma - Diwani Kata ya Kiborloni
  • Mhe. Gadiel E. Mrema - Diwani Kata ya Ng’ambo
  • Mhe. Heavenlight Kiondo - Diwani Kata ya Korongoni
  • Mhe. Hamphrey Mosha - Diwani Kata ya Majengo
  • Mhe. Masiu Kilusu - Diwani Kata ya Bondeni
  • Mhe. Mohamed A. Mushi - Diwani Kata ya Miembeni
  • Mhe. Nassib M. Abdallah - Diwani Kata ya Kaloleni
  • Mhe. Pastori W. Minja - Diwani Kata ya Pasua
  • Mhe. Charles T. Mmbando - Diwani Kata ya Soweto
  • Mhe. William G. Kiwia - Diwani Kata ya Rau
  • Mhe. Juma R. Juma - Diwani Kata ya Bomambuzi.
Tatizo ni watu wa Moshi kukubali kuwapa umeya akina Juma na Zuberi! Mnategemea nini watu hawa wakishika madaraka kama sio kuuza kila kitu kilichopo?! Si mmeona?
 
Hao ndio wameshika mpini, Bora hatua moja kuliko nusu hatua, amini Moshi mpaka ifike 2024 itakuwa kama MATHARE huko Nairobi, yaani ufisadi bora wa hela lakini si wa kuuza open space na maeneo ya shule, hebu tusaidiane.
Kila mtu anatalia kwa wakati wake mpaka tutakapojitambua na kuwavurumusha ma-fisi-m kututawala.
 
Back
Top Bottom