Madiwani wa CHADEMA Arusha kususia mapokezi ya JK kesho

alete maji kwani yeye kawa mvua? Unataka kutuambia CDM ikishika nchi mvua zitaongezeka?
Sishangai na majibu yako kumbe mfumo mzima wote ni makanjanja Kikwete anaambiwa wananchi wanakula mapanki anasema thibitisha,madaktari hawana vifaa vya kutibia anasema thibitisha watoto wanapandishwa karandika thibitisha kikwete ni kanjanja dunia ya leo unangojea maji ya mvua kweli hivi haoni aibu kweli anawezaje kwenda Kempsinki huko Serengeti sasa hivi wakati watoto hawako shuleni fedha ngapi anaenda kutumbua huko muulize amebeba ngua za mazoezi
 
haya ni maneno ya kisiasa tu humu! wao madiwani hawamtambui, mbona viongozi wao wanaenda mpaka ikulu na kukaribishwa juice, na wao kufikisha maombi yao, je wanaendaga kwa kivuli kule! na mbona kukitokea jambo viongozi wao wanatamka neno mh.rais panapo hitajika! vitu vingine ni siasa zaidi! sijawaelewa wakisema hawamtambui rais

hujaambiwa hawamtambui rais; acha kukurupuka!
 
Hao MAdiwani wanaenda km kin nani? maana hata kumshika mkono hawaruhusiwi bora wabakie kwenye kata au ofisini kwa meya wapate posho yao ya siku.
Sijaona umuhimu wa Diwani ktk Nchi hii na wanapokea 120,000/ kwa mwezi, Sumaye alishawahi ivunja Halmashauri ya Jiji la Dar na kumpa Keenja hata Arusha inabidi ikibidi kufanya hivyo
 
Sishangai na majibu yako kumbe mfumo mzima wote ni makanjanja Kikwete anaambiwa wananchi wanakula mapanki anasema thibitisha,madaktari hawana vifaa vya kutibia anasema thibitisha watoto wanapandishwa karandika thibitisha kikwete ni kanjanja dunia ya leo unangojea maji ya mvua kweli hivi haoni aibu kweli anawezaje kwenda Kempsinki huko Serengeti sasa hivi wakati watoto hawako shuleni fedha ngapi anaenda kutumbua huko muulize amebeba ngua za mazoezi
sasa wewe ulitaka ajifungie ikulu? Mbona viongozi wenu wanazurura nchi nzima bila faida yeyote. Hao M4C wamelata mvua ngapi? Akitoa ngombe mnaomba maji, akileta maji mtaomba jembe akileta jembe mtasema mbegu iko wapi. Wabongo mnapenda kupewa tu na msipopewa ni kulalamika tu. Usisubiri serikali ikufanyie kila kitu bana. Jitumeni hata kidogo. Hizi siasa hazitaleta chakula nyumbani.
 
Waendelee tu na kazi zao kama wanazo kwani kuwepo au kutokuwepo kwao sidhani kama kunaongeza au kupunguza tija yeyote.
Tena washukuru hata kutaarifiwa kwa simu, isingepaswa for security reasons!Hawaambieni kuna per-diem watakavyoongozana hata kwa pikipiki
 
Sidhani kama kuna sababu yoyote ya Diwani kwenda kumpokea rais, kama huna dili kitaa waweza kwenda lakini kama unamambo yako binafsi ya nini uende kupoteza muda wako kumpokea jamaa, mkuu wa mkoa anakazi gani, mkuu wa wilaya pia hizo ndio kazi zao, yaani madiwani wote arusha, wana ccm mkoa, wabunge, Tiss, Polisi waende kumpokea mtu mmoja, Halafu baadae mnadai maisha magumu,
 
Wangeenda ningewashangaa sana!
Kikwete anawakomoa watanzanzania kwa sababu hawakumchagua, na yeye anajua hakuchaguliwa na watanzania!

hii ni kweli hebu nambie kiwanja vilivyopimwa arusha seliani ni million 18 ni mtz wa aina gani wa mshahara hata kama unapata m5 utakipataje achilia mbali sisi wa 500,000

 
Kwani asipopokelewa na madiwani hatafika anakokwenda au hao madiwani wamekuwa matairi ya gari. Hv kwa nini watu wanapenda kuwanyanyasa wenzao wakachomwe jua huku wakijua nao wana familia na ni wanaume kama wao.
 
Ni rais wa pekee ambaye dunia imepata kumshuhudia. Mwezi wa 2 alienda kuwapa ng'ombe wamasai huko Longido. Sasa hv tena anaenda Ngoro2 kuwapa ng'ombe. Watu hawana maji ya kunywa, ngombe wanakufa kwa kiu, bado unawapa ng'ombe.
Mbona haji Arusha mjini? kuna nini hapa town? Km anategemea kura za Wamasai asahau, amuulize Sendeka nn kinaendelea kwa Wamasai.
Madiwani msisogee kwa huyo mtu, maana mtaishia kupewa FUTARI jioni, kwisha habari yenu.
Achaneni na huyo mtu.

Mkuu kumwita Jk mtu umempa heshima kubwa sana! He don't deserve that respect mkuu!
 
Kwani asipopokelewa na madiwani hatafika anakokwenda au hao madiwani wamekuwa matairi ya gari. Hv kwa nini watu wanapenda kuwanyanyasa wenzao wakachomwe jua huku wakijua nao wana familia na ni wanaume kama wao.

Mungi say thanks for this useful post
 
Wana umuhimu gani hao? Waende au wasiende,hakuna litakao pungua. Naona siku hizi hata madiwani nao unawasikia.

Kumpokea Jk ni sawa na kumpokea Jambazi tena kwa heshima kubwa!
Heri wametambua kuwa kumpokea Jk ni dhambi ya makusudi
 
sasa wewe ulitaka ajifungie ikulu? Mbona viongozi wenu wanazurura nchi nzima bila faida yeyote. Hao M4C wamelata mvua ngapi? Akitoa ngombe mnaomba maji, akileta maji mtaomba jembe akileta jembe mtasema mbegu iko wapi. Wabongo mnapenda kupewa tu na msipopewa ni kulalamika tu. Usisubiri serikali ikufanyie kila kitu bana. Jitumeni hata kidogo. Hizi siasa hazitaleta chakula nyumbani.
<br>


Nchi hii ina wehu wengi kweli kwenye M4C kuna nani aliapishwa kuwa Raisi unasema ; Kikwete anaweza kujifungia ndani ya IKULU kweli kwa lipi he is not a visionary leader yeye anatawala nchi bora liende hana legacy ataondoka hata nzi hawatamkumbuka tunamkumbuka Nyerere na sera zake za ujamaa.Mwinyi Mzee -Ruksa,Mkapa uwazi na ukweli hembu tuambie Kikwete la kumkumbuka lipi kukopa mpaka kuua mashirika ya hifadhi ya kijamii au lipi kuhonga ardhi kwa waarabu na wazungu au lipi kugeuza IKULU sebule ya rushwa we vipi wewe&nbsp; wote tunajua hakuna tatizo amewahi kutatua huyo ni ubabe tuu siku zote anakimbia akataze watoto wasipandishwe kwenye makarandinga
 
Back
Top Bottom