Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Wanabodi
Taarifa za uhakika kutoka miongoni mwa madiwani wa CHADEMA manispaa ya Arusha,zinasema kuwa hawatashiriki mapokezi ya Rais wa JMT anayetarajiwa kufika Arusha kesho,Awali madiwani wote walipaswa kumpokea Rais Kikwete kesho saa nne kwenye uwanja wa ndege wa Arusha.Kwa mujibu wa madiwani wa CHADEMA wanapinga kupewa short notice tena kwa simu kinyume na kanuni,pia kwa kuwa Meya atashiriki hayo mapokezi na wao hawamtambui
Je ni halali madwani kukataa kumpokea Mh Rais?
Taarifa za uhakika kutoka miongoni mwa madiwani wa CHADEMA manispaa ya Arusha,zinasema kuwa hawatashiriki mapokezi ya Rais wa JMT anayetarajiwa kufika Arusha kesho,Awali madiwani wote walipaswa kumpokea Rais Kikwete kesho saa nne kwenye uwanja wa ndege wa Arusha.Kwa mujibu wa madiwani wa CHADEMA wanapinga kupewa short notice tena kwa simu kinyume na kanuni,pia kwa kuwa Meya atashiriki hayo mapokezi na wao hawamtambui
Je ni halali madwani kukataa kumpokea Mh Rais?